Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

La Quica

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,315
Wakuu cheti cha kuzaliwa siku hizi ndio kipo hivi au hiki ni provisional tu?

Hapa nimemwambia manzi wangu anitumie cheti cha kuzaliwa cha mwanae ili nifuatilie masuala ya bima ya afya akanitumia kinachofanana na hiki.

images (5).jpeg


Sasa sijui kama hiki ndio cha siku hizi au inakuwaje.

Naomba mwenye kuelewa anisaidie kunifafanulia.
 
Mm hapo waulize waliozaliwa siku hizi maana sie tuliozaliwa zamani sijui kama ndio viko hivyo
 
Ndio hichohicho mkuu.

Siku hizi vinatolewa hosp alipozaliwa mtoto na vinatumika tu hivyohivyo.
 
Karibu miaka m4 au mi5 sasa vyeti vya kuzaliwa vinatolewa dizaini hii, na vinakubaliwa kote
 
Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?

Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
 
Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?

Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Dah mkuu hicho nimekitoa humo bana. 😂😂
Screenshot_20210812-102206_Chrome.jpg
 
Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?

Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Mbona unamsagia kunguni hivo kaka?🤣🤣
 
Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?

Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Muache Giresi wa watu 😂
 
Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?

Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Asante mkuu kwa kunielewesha. Ila umenifurahisha sana.

Sasa kama mimi sina uwezo wa kuzaa si bora nihudumie hata wa manzi wangu tu. 😂
 
Asante mkuu kwa kunielewesha. Ila umenifurahisha sana.

Sasa kama mimi sina uwezo wa kuzaa si bora nihudumie hata wa manzi wangu tu. [emoji23]
Mkuu wewe siyo kwamba uwezo wa kuzaa huna uwezo unao tatizo wanawake zako kama hawa ndo hawana uwezo wa kuzaa,haiyumkiniki mtu amezaa mara ya mwisho 2009 katikati pote hapo zaidi ya miaka 12 amemeza vidonge vya kuzuiya mimba leo apate mimba kirahisi?huyo ni konk hata umimine manii kwa jug hakuna siku utaona mimba hiyo ni hasara.

Huyo ni bibi tafuta dogo dogo mwenzio akuzalie watoto mfanye maisha uufurahie uzao wako.
 
Hiyo ni stakabadhi ya vizazi inayotolewa hospitali alipozaliwa mtoto, zamani ilijulikana kama tangazo la kuzaliwa. Hiyo stakabadhi ndio unatakiwa kupeleka RITA Ili kisajiliwe na kupewa Cheti halisi cha kuzaliwa.
 
Hiyo ni stakabadhi ya vizazi inayotolewa hospitali alipozaliwa moto, zamani ilijilikana kama tangazo la kuzaliwa. Hiyo stakabadhi ndio unatakiwa kupeleka RITA Ili kisajiliwe na kupewa Cheti halisi cha kuzaliwa.
Shukrani sana mkuu. Asante kwa maelezo.
 
Back
Top Bottom