Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

Ukitaka nenda kachukue RITA kile cha kutype na computer
Ila nenda ukiwa na kadi ya kliniki ya mtoto,na hicho cheti usikionyeshe.
Vinginevyo hupati.
Kwanini wasikitoea sasa mkuu. Je wakiuliza kiko wapi? Na je ni kila mtoto anezaliwa anapata hicho kirisiti?

Maana unaweza kuenda huko RITA wakakidai ukasema huna kumbe kila mtoto anapewa akizaliwa ukaumbuka.
 
Mkuu wewe siyo kwamba uwezo wa kuzaa huna uwezo unao tatizo wanawake zako kama hawa ndo hawana uwezo wa kuzaa,haiyumkiniki mtu amezaa mara ya mwisho 2009 katikati pote hapo zaidi ya miaka 12 amemeza vidonge vya kuzuiya mimba leo apate mimba kirahisi?huyo ni konk hata umimine manii kwa jug hakuna siku utaona mimba hiyo ni hasara.

Huyo ni bibi tafuta dogo dogo mwenzio akuzalie watoto mfanye maisha uufurahie uzao wako.
Poa poa mkuu ngoja nifuatilie ushauri wako. 😂😂
 
Kwanini wasikitoea sasa mkuu. Je wakiuliza kiko wapi? Na je ni kila mtoto anezaliwa anapata hicho kirisiti?

Maana unaweza kuenda huko RITA wakakidai ukasema huna kumbe kila mtoto anapewa akizaliwa ukaumbuka.
Mimi nilienda nacho hicho ili wanipe kile typed wakagoma.
Walidai kinatumika hicho hicho unachokiita cha kiwaki.
 
Karibu miaka m4 au mi5 sasa vyeti vya kuzaliwa vinatolewa dizaini hii, na vinakubaliwa kote
Mbona nimejifungua miaka hiyo sikupewa hicho. Hosptal walitoa tangazo tu ambalo ndio unaenda kufuatilia cheti cha kuzaliwa vizazi na vifo
 
Mbona nimejifungua miaka hiyo sikupewa hicho. Hosptal walitoa tangazo tu ambalo ndio unaenda kufuatilia cheti cha kuzaliwa vizazi na vifo
Baadhi ya maeneo/mikoa hawako fast ktk kufanyia kazi miongozo mipya,

Wengi walishaanza kutumia hivyo vyeti
 
Wewe ulitaka kipi? mambo mengine ni kutujazia thread tu humu...
 
Hivi vyeti vya nini? Bila iko Kwamba sijazaliwa au?
 
Hicho sio cheti ni kama fomu ya registration hapo unatakiwa upeleke hiyo rita ili upate cheti
 
Wakuu cheti cha kuzaliwa siku hizi ndio kipo hivi au hiki ni provisional tu?

Hapa nimemwambia manzi wangu anitumie cheti cha kuzaliwa cha mwanae ili nifuatilie masuala ya bima ya afya akanitumia kinachofanana na hiki.

View attachment 1889256

Sasa sijui kama hiki ndio cha siku hizi au inakuwaje.

Naomba mwenye kuelewa anisaidie kunifafanulia.
Kiko sawa mkuu na ni halali.
 
Mbona hakina quality kabisa? Mbona vya nyuma vilikuwa vizuri kuliko hiki? Tunapiga hatua kurudi nyuma au?
Mmi ninavyo vya aina mbili hicho ni vya wale chini ya miaka5 kama sikosei na ninacho kilichotofaut cha kuanzia nadhani miaka6 na kuendelea ambavyo hutolewa vizazi na vifo,nenda hapo utapata ufafanuzi zaidi.
 
Mmi ninavyo vya aina mbili hicho ni vya wale chini ya miaka5 kama sikosei na ninacho kilichotofaut cha kuanzia nadhani miaka6 na kuendelea ambavyo hutolewa vizazi na vifo,nenda hapo utapata ufafanuzi zaidi.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom