Dah mkuu hicho nimekitoa humo bana. ππUna-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?
Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Mbona unamsagia kunguni hivo kaka?π€£π€£Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?
Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Muache Giresi wa watu πUna-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?
Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Asante mkuu kwa kunielewesha. Ila umenifurahisha sana.Una-date na mtu aliyezaa 2009 bado unamwita manzi?huyo si bibi kabisa huyo?
Hiko cheti huwa kinatumika kwa dharura wakati mzazi ukifuatilia cheti original cha kuzaliwa,ila kwa nini usizae watoto wako ukawahudumia unajisikiaje kuhudumia mtoto wa mtu wakati starehe zilikuwa zao?
Mkuu wewe siyo kwamba uwezo wa kuzaa huna uwezo unao tatizo wanawake zako kama hawa ndo hawana uwezo wa kuzaa,haiyumkiniki mtu amezaa mara ya mwisho 2009 katikati pote hapo zaidi ya miaka 12 amemeza vidonge vya kuzuiya mimba leo apate mimba kirahisi?huyo ni konk hata umimine manii kwa jug hakuna siku utaona mimba hiyo ni hasara.Asante mkuu kwa kunielewesha. Ila umenifurahisha sana.
Sasa kama mimi sina uwezo wa kuzaa si bora nihudumie hata wa manzi wangu tu. [emoji23]
Ukitaka nenda kachukue RITA kile cha kutype na computerAsee mbona cheti cha kiwaki sana hicho?
Shukrani sana mkuu. Asante kwa maelezo.Hiyo ni stakabadhi ya vizazi inayotolewa hospitali alipozaliwa moto, zamani ilijilikana kama tangazo la kuzaliwa. Hiyo stakabadhi ndio unatakiwa kupeleka RITA Ili kisajiliwe na kupewa Cheti halisi cha kuzaliwa.