Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
kwa niniChuo cha kikuda hicho
mkuu asante kwa ushauri wako wenye akiliHahaaa usimsikilize kuna watu wanapenda kukatisha wenzao tamaa vibaya hicho chuo mm nakijua ila sisomi hapo ila kuna rafiki yangu anasoma hapo na huwa na visit sana pande hizo chuo kwa mazingira ni kizuri zaidi ya uzuri yaan kina sifa zote kwa mazingira, kwa taaluma pia wanajitahidi japo kwa miaka ya nyuma kilikuwa kinatia aibu mno ila kwa mujibu wa rafiki yangu anasema wako poa.
Mwisho iyo ndo imetoka ujijue tuu ww huko ndo unapoelekea
Chuo cha kikuda hicho
kuna watu mnapenda sana kudharau vyuo vingine mbona kuna waliosoma udsm wapo mtaani wanasugua rami kutafuta kazi mchana kutwa na bado wanapigwa fimbo na vyuo vingine sa hivi watu wanaangalia uchapa kazi sio kujivuna eti kisa umetoka udsmhata UDSM cha kikuda ukitoka na GPA 2.2
habarini za sizi wana jamvi mimi kwenye application yangu ya second round chuo cha kampala ndo nimeandikiwa successful selected kwa bachelor of art with education sasa wanajamvi vipi kuhusu mazingira ya hiki chuo na utoaji wake wa taaluma maana na je tcu walivoniandikia hvo ndo nitapata moja kwa moja au kuna kukosa
kuna watu mnapenda sana kudharau vyuo vingine mbona kuna waliosoma udsm wapo mtaani wanasugua rami kutafuta kazi mchana kutwa na bado wanapigwa fimbo na vyuo vingine sa hivi watu wanaangalia uchapa kazi sio kujivuna eti kisa umetoka udsm
habarini za sizi wana jamvi mimi kwenye application yangu ya second round chuo cha kampala ndo nimeandikiwa successful selected kwa bachelor of art with education sasa wanajamvi vipi kuhusu mazingira ya hiki chuo na utoaji wake wa taaluma maana na je tcu walivoniandikia hvo ndo nitapata moja kwa moja au kuna kukosa
Uko sahihi mkuu,nina mpesa yangu pale gongolamboto stand,,wengi wa wasichana pale wamepanga na wavulana wanachuo wenzaochuo kizuri sana kipo eneo zuri...masomo yapo fresh sana ila nakuonya tu wanawake wanafunzi ni wahuni mnoo hlf tske care na waendesha bodaboda na wapiga debe wa gongolamboto wana pola sana wanawafunzi
Naomba ufafanuzi wa mawazo yako una mana gani ukisema atatoka na gpa 4.8Nenda kasome tuu, ila utatoka na GPA ya 4.8 so worry out.
Uko sahihi mkuu,nina mpesa yangu pale gongolamboto stand,,wengi wa wasichana pale wamepanga na wavulana wanachuo wenzao
Naomba ufafanuzi wa mawazo yako una mana gani ukisema atatoka na gpa 4.8
wanaosema kampala ni chuo kibaya waje na logic,je hakina mazingira rafiki kwa mwanafunzi?au hakuna maabara?au walimu hammna..Nijuavo mimi tatizo la kampala university lilikuwa ni ada tu,mfano bpharm zamani ilikuwa almost 9milioni kwa mwaka ila sasa hivi ni m3.8, na mkopo unapewa 3m .kutokana na wanafunzi wengi kutokuwa na uwezo wa kulipa ada walikuwanaomba ni wachache ili mradi wawe na minimum qualification
gpa ya kupewa. hata ukikakaa nyumbani miezi 3 ukienda kufanya mtihani lazima ufaulu pale