Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
habarini za sizi wana jamvi mimi kwenye application yangu ya second round chuo cha kampala ndo nimeandikiwa successful selected kwa bachelor of art with education sasa wanajamvi vipi kuhusu mazingira ya hiki chuo na utoaji wake wa taaluma maana na je tcu walivoniandikia hvo ndo nitapata moja kwa moja au kuna kukosa