Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,785
Nianze na utangulizi.
"Sredi" hii naileta kwenu ikiwa ni maalum kutoa challenge kwa mheshimiwa Mshana Jr, dhidi ya uzi wake aliyouleta hapa unaosoma kwa headin, "Kuvaa chupi ya mpenzi wako si limbwata bali ni mapenzi"
Aidha, ni challenge kwa wale waliochangia negatively.
Sina tatizo na wanawake kuvaa pant because wao mambo yao ni mengi!
Hususan (their trip/journey to NASA kunako ma-airspace)
Lakini kwa wanaume chupi ya nini? Hivi kazi ya chupi ni nini? Ukivaa haionekani!
Nani atakaekujua barabarani, ofisini kuwa hujaivaa?
Usipoivaa haionekani! Nani atajua hujaivaa? Na ikiwa umeivaa chupi ikionekana utaambiwa uko uchi.
Ukiamua kuvua nguo ubaki utupu, mathalan fukweni ukaogelee, watakwambia hujavaa chupi.
Sasa ya nini tuhangaike na nguo iliyojaa usiri na utata?
While wearing pants affect a man's fertility reproductive system parts!
It resist blood & other glands flow well through to penis.
Hizi testicles zinatakiwa always ziwe karibu-karibu zimeshkanashkana lakini chupi inazi-split zinakaa far from one testicle to another.
Nimalize kwa kusema natoa rai wanaume hamna haja ya kuvaa chupi za wapenzi wenu , wala zenu binafsi.
Hoja imeungwa mkono!
Sioni umuhimu wa kuwahoji.
"Sredi" hii naileta kwenu ikiwa ni maalum kutoa challenge kwa mheshimiwa Mshana Jr, dhidi ya uzi wake aliyouleta hapa unaosoma kwa headin, "Kuvaa chupi ya mpenzi wako si limbwata bali ni mapenzi"
Aidha, ni challenge kwa wale waliochangia negatively.
Sina tatizo na wanawake kuvaa pant because wao mambo yao ni mengi!
Hususan (their trip/journey to NASA kunako ma-airspace)
Lakini kwa wanaume chupi ya nini? Hivi kazi ya chupi ni nini? Ukivaa haionekani!
Nani atakaekujua barabarani, ofisini kuwa hujaivaa?
Usipoivaa haionekani! Nani atajua hujaivaa? Na ikiwa umeivaa chupi ikionekana utaambiwa uko uchi.
Ukiamua kuvua nguo ubaki utupu, mathalan fukweni ukaogelee, watakwambia hujavaa chupi.
Sasa ya nini tuhangaike na nguo iliyojaa usiri na utata?
While wearing pants affect a man's fertility reproductive system parts!
It resist blood & other glands flow well through to penis.
Hizi testicles zinatakiwa always ziwe karibu-karibu zimeshkanashkana lakini chupi inazi-split zinakaa far from one testicle to another.
Nimalize kwa kusema natoa rai wanaume hamna haja ya kuvaa chupi za wapenzi wenu , wala zenu binafsi.
Hoja imeungwa mkono!
Sioni umuhimu wa kuwahoji.
Last edited by a moderator: