Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

Kuna kitu!,mtandao ule unatengeneza mazingira ya kurudi kuendesha nchi.

Nmejiuliza, kwanini makosa Yale Yale ya kufanana ndio yanajirudia Toka Kwa Ma Rais hawa kupitia Machawa ?

Mzee aliondoshwa, si.kwa sababu ya Kupambana na Mafisadi, ni baada ya Mzee kuanza kufurahia Hoja ya kuongoza milele ili hali watu wengi Wana njozi pia zakuongoza.

Kosa lilelile Leo linarudiwa na anajaa kwenye Mfumo na kuwapa sababu ya kavunja Taratibu !!

Niliwah andika hivi

Anatuhuma za DPW n.k, hizo ni ndogo, hili la ABDUL, uchanganye na hili la Leo.

Atakubali shoo.
 
Rostam alikuwepo Dodoma kwenye kikao cha chama chetu naye ni mwananchi.
Gharib naye ni mwananchi na kijana wake Hersi.

Kifupi kikao cha chama chetu kina baraka za matajiri/ wafanyabiashara wote wa nchi hii na wengi kama sio wote wallikuwepo Dodoma.
 
Taarifa RASMi ni kuwa Mpango ameomba kupumzika kwa sababu zisizo za kikazi lakini pia ni kwakuwa Umri wake umeenda (67) anahitaji kupumzika.

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa.kuna namna fulani nchi inaendeshwa kifamilia hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Kama mnavojua, Mpango ni Mtu Mwema na ni Mcha Mungu wa kweli anaumia na mali za Umma zinavyouzwa hivyo kupelekea ukinzani na Boss wake kwenye decision kwa kuwa Boss amezungukwa na walaji na wolfs hatari.

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na hili pia anaonesha ukinzani nalo maana investment zinajadiliwa kwenye migahawa kwa kigezo cha expression of interest.

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kama kipindi kileeee, Ukiwa na akili timamu kuna wakati inafika PESA inakuwa sio kila kitu bali uaminifu kwa mungu wako na dhamana aliyokupa....Mpango ni miongoni mwao.

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndungai..... Nchi Inauzwa! Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Will mpango endorse this speculative post?
 
Taarifa RASMi ni kuwa Mpango ameomba kupumzika kwa sababu zisizo za kikazi lakini pia ni kwakuwa Umri wake umeenda (67) anahitaji kupumzika.

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa.kuna namna fulani nchi inaendeshwa kifamilia hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Kama mnavojua, Mpango ni Mtu Mwema na ni Mcha Mungu wa kweli anaumia na mali za Umma zinavyouzwa hivyo kupelekea ukinzani na Boss wake kwenye decision kwa kuwa Boss amezungukwa na walaji na wolfs hatari.

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na hili pia anaonesha ukinzani nalo maana investment zinajadiliwa kwenye migahawa kwa kigezo cha expression of interest.

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kama kipindi kileeee, Ukiwa na akili timamu kuna wakati inafika PESA inakuwa sio kila kitu bali uaminifu kwa mungu wako na dhamana aliyokupa....Mpango ni miongoni mwao.

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndungai..... Nchi Inauzwa! Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
kosa kubwa la kwanza tz ambalo Lissu anapaswa kuwa ni ajenda yake ya kipaumbele ni kuhamasisha watz kuunga mkono mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenye.

Kwa mfano nchi hii ikigawanywa Ktk mfumo wa utawala wa majimbo 5 nyenye nguvu zaidi ya kujiamulia mambo yake wenyewe hizi kelele za watu wa milimani kutoridhishwa na dp world zisingekuwapo.

Kupitia mfumo huo mtu kama Dr Mpango, zito mamlaka yake yangeishia jimbo la magharibi.

Mambo ya bandari yanawahusu wenyeji wa mwambao pekee.

Kuna ndugu yangu mmoja alikwenda Saudi Arabia. Bahati mbaya akagongwa na raia wa Saudi Arabia. Lkn alipokwenda polisi akaambiwa wewe (rafiki) ndie mwenye kosa. Kwa kuwa umetoka huko kwetu hadi saudi arabia. Kama ungebaki huko kwenu usingegongwa hapa.

Pamoja na maneno haya yanaumiza lkn yana ukweli ndani yake.

Kwamba wewe ukiwa umetoka kwenu huko milimani na baada ya kuja dar ukahisi huridhishwi na namna viongozi wenzio tena wa mwambao wanavyofanya kazi. Kosa ni lenu nyie muliotoka huko milimani. Na dawa ya kuondoa tatizo ni kupigania mfumo wa serikali za majimbo ututawale.
 
kosa kubwa la kwanza tz ambalo Lissu anapaswa kuwa ni ajenda yake ya kipaumbele ni kuhamasisha watz kuunga mkono mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenye.

Kwa mfano nchi hii ikigawanywa Ktk mfumo wa utawala wa majimbo 5 nyenye nguvu zaidi ya kujiamulia mambo yake wenyewe hizi kelele za watu wa milimani kutoridhishwa na dp world zisingekuwapo.

Kupitia mfumo huo mtu kama Dr Mpango, zito mamlaka yake yangeishia jimbo la magharibi.

Mambo ya bandari yanawahusu wenyeji wa mwambao pekee.

Kuna ndugu yangu mmoja alikwenda Saudi Arabia. Bahati mbaya akagongwa na raia wa Saudi Arabia. Lkn alipokwenda polisi akaambiwa wewe (rafiki) ndie mwenye kosa. Kwa kuwa umetoka huko kwetu hadi saudi arabia. Kama ungebaki huko kwenu usingegongwa hapa.

Pamoja na maneno haya yanaumiza lkn yana ukweli ndani yake.

Kwamba wewe ukiwa umetoka kwenu huko milimani na baada ya kuja dar ukahisi huridhishwi na namna viongozi wenzio tena wa mwambao wanavyofanya kazi. Kosa ni lenu nyie muliotoka huko milimani. Na dawa ya kuondoa tatizo ni kupigania mfumo wa serikali za majimbo ututawale.
Mmmh ! Ni sawa lakin……
 
Kila anachokishauri kinachohusu muungano kimekiwa kinapingwa na wazanzibar..mfano pesa nying zinapelekwa Zanzibar kuliko for formULA ya mgao matoke yake bara maendeleo na miradi inakwama lakini Zanzibar kila kitu kinaemda juu kwa Kasi.Ndo maana akaamua kujiuzuru kwa kusema anataka akae maisha marefu..inamaana aliona alianza kutishiwa kuuawa
 
Taarifa RASMi ni kuwa Mpango ameomba kupumzika kwa sababu zisizo za kikazi lakini pia ni kwakuwa Umri wake umeenda (67) anahitaji kupumzika.

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa.kuna namna fulani nchi inaendeshwa kifamilia hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Kama mnavojua, Mpango ni Mtu Mwema na ni Mcha Mungu wa kweli anaumia na mali za Umma zinavyouzwa hivyo kupelekea ukinzani na Boss wake kwenye decision kwa kuwa Boss amezungukwa na walaji na wolfs hatari.

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na hili pia anaonesha ukinzani nalo maana investment zinajadiliwa kwenye migahawa kwa kigezo cha expression of interest.

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Yaani huyu hamnazo kabisa alitaka tujaziwe tozo
 
Kila anachokishauri kinachohusu muungano kimekiwa kinapingwa na wazanzibar..mfano pesa nying zinapelekwa Zanzibar kuliko for formULA ya mgao matoke yake bara maendeleo na miradi inakwama lakini Zanzibar kila kitu kinaemda juu kwa Kasi.Ndo maana akaamua kujiuzuru kwa kusema anataka akae maisha marefu..inamaana aliona alianza kutishiwa kuuawa
Zanzibar hakuna Mzunguko wowote wa hela. Kwa sasa Project nyingi zitahamishiwa huko na pesa za miradi hiyo inatoka bara
Baada ya Samia, kutakuwa na kazi kubwa ya Reform
Tunaenda mbele then tunarudi nyuma

Katiba Mpya…… TAL
 
Hakuna cha Lissu wala Upinzani wote wakipewa cha kutafuna wanakosa cha kuongea..., what is needed sio mtu wala watu bali UWAZI... Na badala ya kutegemea Upinzani wanaoweza kulambishwa tende wanahabari na whistleblowers wafanye kazi yao


 
Back
Top Bottom