WWW.RAMLI.COMCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Anajuwa gharama ya kufanya hivyo,kujiweka pembeni dhidi ya mfumo ovu pia inatosha kwani anaweza kuanzisha movements za kupinga akiwa nje ya mfumoKwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.
Hizi ni story tu siamini kwa the so called wazalendo. Hakuna mzalendo.Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Unakuwa sehemu ya matapeliUkishakuwa CCM na mtumishi wa Serikali ya CCM automatically tu unakuwa sio Mzalendo.
moango alikuwa mte daji seeikalini na wala hakuwahi kuwa na vyeo vya KIccmMtu kawa CCM miaka yote mpaka anazeeka ajagundua kama CCM ni mafisadi aje kugundua mwaka huu,,,kweli?
Afya za watu zina tofautiana sana.miaka 67 ya Mpango linganisha na miaka 80 ya Wassira.
Huyo atakuwa hajaomba kupumzika bali kapumzishwa!
Hahaha, Kenya ni nchi nyingine. Wale majamaa ni kichwa ndo maana rais anakosolewa hadharani. Tanzanians ni waoga kama wanawake.Mbona Gachagua yupo, na alimpinga Ruto waziwazi?.
Hakuwaza kuwekewa Sumu?.
Typical Nonsense 🚮🚮Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Anafaa kuigwa kweli pamoja na Kinana,watu wakaza hadi kusinzia kazini kama Mali zao,ona Mbowe kapachikwa jina Mugabe!Hakika ni watu wachache sana katika dunia hii ambao hawana uchu wa kukimbila madaraka, dkt Mpango katufundisha kuwa uongozi sio kitu cha kukimbilia, uongozi ni mzigo, ni mateso, ni shida.
Tunawashangaa sana wale wanao utafuta uongozi kwa pesa, uchawi/kuloga, kuuwa n.k.
Dkt Mpango anafaa kuigwa.
Hizo ni hadithi za kijinga na za kutunga Hazina mashiko.Kwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.
Kuna ukweli ndani yake! Hakuna cho chote Lissu atafanya kwa sababu hana dola na sana sana akizidisha kelele huenda wanaweza kumdhurumu uhai wake.
Nchi hii imeshikiliwa na kuongozwa na mashetani!
Akafanye huo Uzalendo kwake Sasa 😆😆Mzalendo amechoshwa na mauzauza ya mauaji,utekaji,utesaji,wizi wa kura na uongozi,ghilba kwa wananchi na maujinga mengimengi.
Kwa kuongezea TU...UTAWEKEWA SUMU UFE
UKIMYA NI BORA KULIKO MAUTI
Sidhani kama huwa wanakaa kimya kama kimya. Kuna vipaza SAUTI.Kwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.