Kuhusu El niño Je athari za Mivua hizo Ni za wananchi Peke yake ? je miundombinu ya serikali Kama Madaraja na Tanesco wamejiandaaje?

Kuhusu El niño Je athari za Mivua hizo Ni za wananchi Peke yake ? je miundombinu ya serikali Kama Madaraja na Tanesco wamejiandaaje?

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Hakuna Haja ya Salaam Maana naona kama hili swala halijakaa sawa sana..
Kila nikifungua TV au Redio nasikia nakuona Serikali ikieleza Athari za Mvua ya Elnino na Athari zote zikielekezwa kwa Wananchi..
Na serkali ikifika mpaka kutishia wananchi wanaoishi Bondeni kwamba hakutakuwa na Malipo wala fidia kwahyo inabdi wahame au wachukue Tahadhari..

Hoja yangu ni kuwa..
Wote tunafahamu kuwa Kukitokea kimvua kidogo tu Miundo mbinu ya TANESCO kama Transfomer na nguzo huaribika sana na hivyo kusababisha ukosefu wa umeme wa muda mrefu..

Nafikir badala ya kupiga mkwara kwa Wananchi serikali ilitakiwa kujikita kwenye Kuboresha Miundo mbinu ya TANESCO na MASHIRIKA mengine kam TTCL ili tusije kukosa umeme na Mitandao kipindi cha mvua ...

Kwa wale tuliokuwepo miaka ziliponyesha elinino tulishuhudia Uharibifu mkubwa katika Miundo mbinu ya serkali kama madaraja na mingine
Je serikali imechukua jukumu gani au inasubiri utokee uharibifu waje na bajeti kabambe ya reform na renovation..
 
Hakuna Haja ya Salaam Maana naona kama hili swala halijakaa sawa sana..
Kila nikifungua TV au Redio nasikia nakuona Serikali ikieleza Athari za Mvua ya Elnino na Athari zote zikielekezwa kwa Wananchi..
Na serkali ikifika mpaka kutishia wananchi wanaoishi Bondeni kwamba hakutakuwa na Malipo wala fidia kwahyo inabdi wahame au wachukue Tahadhari..

Hoja yangu ni kuwa..
Wote tunafahamu kuwa Kukitokea kimvua kidogo tu Miundo mbinu ya TANESCO kama Transfomer na nguzo huaribika sana na hivyo kusababisha ukosefu wa umeme wa muda mrefu..

Nafikir badala ya kupiga mkwara kwa Wananchi serikali ilitakiwa kujikita kwenye Kuboresha Miundo mbinu ya TANESCO na MASHIRIKA mengine kam TTCL ili tusije kukosa umeme na Mitandao kipindi cha mvua ...

Kwa wale tuliokuwepo miaka ziliponyesha elinino tulishuhudia Uharibifu mkubwa katika Miundo mbinu ya serkali kama madaraja na mingine
Je serikali imechukua jukumu gani au inasubiri utokee uharibifu waje na bajeti kabambe ya reform na renovation..
Mkuu hapo tumepewa tahadhari hivyo ni kila mtu kujiandaa kivyake. Ni kuangalia kile cha muhimu ndani mwako kuhifadhi kwa akiba kama chakula, Maji ya kutosha, dawa za akiba, gas kwa mtumiaji au hata kuni na mkaa hata mafuta ya taa au mishumaa, hayo mengine tuwaachie wenyewe, hao wa mabondeni watajuana baada ya tukio. Maana lazima Tanesco watazima umeme na mwisho ya yote wenye imani zao ni kuomba kasi ya tukio lipungue
 
Mkuu hapo tumepewa tahadhari hivyo ni kila mtu kujiandaa kivyake. Ni kuangalia kile cha muhimu ndani mwako kuhifadhi kwa akiba kama chakula, Maji ya kutosha, dawa za akiba, gas kwa mtumiaji au hata kuni na mkaa hata mafuta ya taa au mishumaa, hayo mengine tuwaachie wenyewe, hao wa mabondeni watajuana baada ya tukio. Maana lazima Tanesco watazima umeme na mwisho ya yote wenye imani zao ni kuomba kasi ya tukio lipungue
Mkuu nimeshuhudia Mwaka 1998 Barabara zikiharibiwa vbaya ,Nguzo zikusulubiwa ,madaraja Yakiharibika kama yalijengwa kwa udongo...

Mito ikipevushwa na kusababisha Majanga mengi sana sasa swali langu kwakuwa serkali imeshapita huko na wanajua hizo athari zilivyotokea mwaka 1998..

Wamejiandaaje kukabiliana nazo maana Sioni wakijihami zaidi wakiwataka wananchi wajihami...
Kwa kenya naona wameanza kujihamu tangu mwezi wa 8
 
Wananchi wanatiwa hofu kubwa wajihadhari na mvua za el nino wakati hakuna kito kama hicho, zitanyesha mvua za kawaida tu za msimu
 
Yeah kuna mvua za kawaida kweli ila kujiandaa ni muhimu maana elnino ni hatari sana kma unakumbukumbu za mwaka 98
Wananchi wanatiwa hofu kubwa wajihadhari na mvua za el nino wakati hakuna kito kama hicho, zitanyesha mvua za kawaida tu za msimu
 
Mkuu nimeshuhudia Mwaka 1998 Barabara zikiharibiwa vbaya ,Nguzo zikusulubiwa ,madaraja Yakiharibika kama yalijengwa kwa udongo...

Mito ikipevushwa na kusababisha Majanga mengi sana sasa swali langu kwakuwa serkali imeshapita huko na wanajua hizo athari zilivyotokea mwaka 1998..

Wamejiandaaje kukabiliana nazo maana Sioni wakijihami zaidi wakiwataka wananchi wajihami...
Kwa kenya naona wameanza kujihamu tangu mwezi wa 8
Mziki wa El Niño sio poa. Ule mwaka hautasahaulika
 
Yeah kuna mvua za kawaida kweli ila kujiandaa ni muhimu maana elnino ni hatari sana kma unakumbukumbu za mwaka 98
hizo mvua zilikuwa kiboko, zilikuwa bandika bandua iwe usiku iwe mchana mwendo ni mvua tu. Hii el nino inayotangazwa kwa nguvu inaweza ikawa ni mvua ya kawaida tu, maana hadi sasa tayari mwezi umeandamana bila mvua kunyesha tusubiri mwandamo wa mwezi ujao ambao ndio vuli itaanza. Cha msingi ni kujihamu nyakati zote kwa mvua
 
Hakuna Haja ya Salaam Maana naona kama hili swala halijakaa sawa sana..
Kila nikifungua TV au Redio nasikia nakuona Serikali ikieleza Athari za Mvua ya Elnino na Athari zote zikielekezwa kwa Wananchi..
Na serkali ikifika mpaka kutishia wananchi wanaoishi Bondeni kwamba hakutakuwa na Malipo wala fidia kwahyo inabdi wahame au wachukue Tahadhari..

Hoja yangu ni kuwa..
Wote tunafahamu kuwa Kukitokea kimvua kidogo tu Miundo mbinu ya TANESCO kama Transfomer na nguzo huaribika sana na hivyo kusababisha ukosefu wa umeme wa muda mrefu..

Nafikir badala ya kupiga mkwara kwa Wananchi serikali ilitakiwa kujikita kwenye Kuboresha Miundo mbinu ya TANESCO na MASHIRIKA mengine kam TTCL ili tusije kukosa umeme na Mitandao kipindi cha mvua ...

Kwa wale tuliokuwepo miaka ziliponyesha elinino tulishuhudia Uharibifu mkubwa katika Miundo mbinu ya serkali kama madaraja na mingine
Je serikali imechukua jukumu gani au inasubiri utokee uharibifu waje na bajeti kabambe ya reform na renovation..
Angalizo muhimu sana hili, pia bila kusahau na miundombinu ya maji pia kama mabomba.
 
Back
Top Bottom