Kuhusu fikra ya kuua upinzani, “The Law of Polarity”

Kuhusu fikra ya kuua upinzani, “The Law of Polarity”

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
1572621694282.png
Kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuua au kutoua, kufa au kutokufa kwa upinzani Tanzania. Ukiangalia kwa ukaribu jambo hili; kuna watu wanafikiri upinzani ukifa litakuwa jambo la faida kwa taifa, ila kiuhalisia litakuwa ni jambo la hasara kwa watu wote na pengine la hatari pia.

iko hivi;

Dunia kwa asili yake kila kitu kimeumbwa na kinyume chake.Kushoto na kulia, fikiria kusipokuwa na kushoto utajuaje kulia?Nyuma na mbele, unajua nyuma kwa sababu kuna mbele, sio?Urefu ufupi, fikiria kama hakuna ufupi utajuaje urefu?Juu na chini?

Au fikiria; Giza mwanga, Ili ujue mwanga lazima pia kuwe na giza sio? Fikiria dunia ikawa ni mchana tu au mwanga tu hakuna giza?Baridi na joto, fikiria baridi bila joto? Mvua bila ukame je? Wanawake bila wanaume? Moto bila Maji je? N.k Fikiri siku kuwe na wanaume tu bila wanawake au wanawake bila wanaume, sasa wanaume hao watajuaje kama ni wanaume au wanawake watajuaje kuwa ni wanawake?

Ni kwa msingi huo ambapo “Law of polarity” imejengeka kwamba kila kitu kina kinyume chake na vitu hivyo haviko kwa ajili ya kusuguana na kumalizana bali kujaziliziana "Complements" japo inawezekana ikatokea wakati joto likawa kali hadi linakera ila baridi nayo ikiwa kali sana tunatamani joto na vikikutana katikati hapo inakuwa sawa.

Hakuna namna ambayo watu wawili wanaweza kuwa na mawazo yanayofanana kwa kila kitu ikiwa wote wanafiri. Ukiona wanafanana, ujue mmoja kaamua kutofikiri, au kaaamua kuwa mnafiki jambo ambalo ni hatari. Suala la msingi ni kuweka mfumo ambao kutofautiana huko kwa mawazo hakuwezi kuzua matatizo lakini watu kufikiri tofauti ni jambo la kimaumbile. Moto unaweza kuchoma nyumba lakini pia moto hupika chakula. Kwa hiyo moto tunauhitaji japo inabidi kuweka mazzingira rafiki ambapo hauwezi kulipuka na kuleta madhara.

Niwashawishi wale wenye kufikiria kwamba kufa au kuuawa kwa upinzani ni jambo jema wafikirie tena usahihi wa mtizamo huo kwa mantiki ya hoja hii.

Asante wote kwa kuelewa na kutoa michango safi kujenga uelewa zaidi.
 
Sasa swala la kufa au kuondoka kwa upinzani Tz ni swala la kusema kuna mkono wa mtu? Wakati tangia mfumo wa vyama vingi uanze kila mtu anajua, ni kuwa kuharibu kwa chama tawala ndiyo kustawi kwa vyama vya upinzani.
 
Kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuua au kutoua, kufa au kutokufa kwa upinzani Tanzania. Ukiangalia kwa ukaribu jambo hili; kuna watu wanafikiri upinzani ukifa litakuwa jambo la faida kwa taifa, ila kiuhalisia litakuwa ni jambo la hasara kwa watu wote na pengine la hatari pia.

iko hivi;

Dunia kwa asili yake kila kitu kimeumbwa na kinyume chake.Kushoto na kulia, fikiria kusipokuwa na kushoto utajuaje kulia?Nyuma na mbele, unajua nyuma kwa sababu kuna mbele, sio?Urefu ufupi, fikiria kama hakuna ufupi utajuaje urefu?Juu na chini?

Au fikiria; Giza mwanga, Ili ujue mwanga lazima pia kuwe na giza sio? Fikiria dunia ikawa ni mchana tu au mwanga tu hakuna giza?Baridi na joto, fikiria baridi bila joto? Mvua bila ukame je? Wanawake bila wanaume? Moto bila Maji je? N.k Fikiri siku kuwe na wanaume tu bila wanawake au wanawake bila wanaume, sasa wanaume hao watajuaje kama ni wanaume au wanawake watajuaje kuwa ni wanawake?

Ni kwa msingi huo ambapo “Law of polarity” imejengeka kwamba kila kitu kina kinyume chake na vitu hivyo haviko kwa ajili ya kusuguana na kumalizana bali kujaziliziana "Complements" japo inawezekana ikatokea wakati joto likawa kali hadi linakera ila baridi nayo ikiwa kali sana tunatamani joto na vikikutana katikati hapo inakuwa sawa.

Hakuna namna ambayo watu wawili wanaweza kuwa na mawazo yanayofanana kwa kila kitu ikiwa wote wanafiri. Ukiona wanafanana, ujue mmoja kaamua kutofikiri, au kaaamua kuwa mnafiki jambo ambalo ni hatari. Suala la msingi ni kuweka mfumo ambao kutofautiana huko kwa mawazo hakuwezi kuzua matatizo lakini watu kufikiri tofauti ni jambo la kimaumbile. Moto unaweza kuchoma nyumba lakini pia moto hupika chakula. Kwa hiyo moto tunauhitaji japo inabidi kuweka mazzingira rafiki ambapo hauwezi kulipuka na kuleta madhara.

Niwashawishi wale wenye kufikiria kwamba kufa au kuuawa kwa upinzani ni jambo jema waone wafikirie tena usahihi wa mtizamo huo kwa mantiki ya hoja hii. Asante.
These theories are a negation of Jiwe's principles of governance! Dictators do not come up with these theories. Jiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sasa swala la kufa au kuondoka kwa upinzani Tz ni swala la kusema kuna mkono wa mtu? Wakati tangia mfumo wa vyama vingi uanze kila mtu anajua, ni kuwa kuharibu kwa chama tawala ndiyo kustawi kwa vyama vya upinzani.
Hili ni moja ya kosa linalofanywa na vyama vya upinzani. Yaani kutegemea kupata legitimacy kutokana na udhaifu utakaooneshwa na ccm. Hili lilishazungumziwa huko nyuma na mifano mingi ikatolewa ikiwemo mfano wa kwamba huwezi ukaenda kwenye usaili halafu badala ya kuonesha uimara wako, wewe unaonesha udhaifu wa wenzako; utakuwa kituko. Kwa hiyo hiyo nayo bado ni changamoto hadi sasa na haitaisha kwa siku moja lakini bado niyo haifanyi hoja ya kuwa na mawazo mbadala kupoteza maana.

Kwa hiyo mawazo mazuri yanaweza kuwa juu ya namna ya kuwasaidia wenye mawazo mbadala kuwa na constructive critisims kuliko kufikiri kuwa hawatakiwi kuwepo. Hili wewe unalionaje mkuu?
 
Pia kuna hoja ya kwamba kuna mifumo ambayo Afrika imeipokea kutoka ubeberuni (Jambo ambalo ni kweli) lakini si kila kilichotoka ubeberuni ni kibaya ndio maana hata madege yanashuka kutoka ubeberuni, vifaa tiba karibu vyote vya kwao n.k. kwa hiyo si kila kitu ni kibaya vingine vikitumika kwa usahihi vinaweza kuwa na faida.

Kwa hoyo pengine jambo la msingi ni kufikiria utaratibu mzuri ambao unaweza ukawa na matokeo positive na faida kwa ujumla wake.

Utaratibu mzuri upo ambao ni huo wa uchaguzi, lakini kuna ambao hawautii, kwani kwenye uchaguzi ndio muda wa kufanyiana ukatili na unyama wa wazi, huku uhayawani huo ukiratibiwa na viongozi kwa ushirikiano wa vyombo vya dola. Na wanaoratibu huo uhayawani hawakubaliki na wananchi bali wanalazimisha kuwatawala wananchi bila ridhaa zao. Mfano halisi ni huu ushenzi unaoendelea kwenye zoezi la uchaguzi linaloendelea kwa sasa. Ndio maana watu wanaojitambua wamegoma kushiriki huo upuuzi.
 
Pia kuna hoja ya kwamba kuna mifumo ambayo Afrika imeipokea kutoka ubeberuni (Jambo ambalo ni kweli) lakini si kila kilichotoka ubeberuni ni kibaya ndio maana hata madege yanashuka kutoka ubeberuni, vifaa tiba karibu vyote vya kwao n.k. kwa hiyo si kila kitu ni kibaya vingine vikitumika kwa usahihi vinaweza kuwa na faida.

Kwa hoyo pengine jambo la msingi ni kufikiria utaratibu mzuri ambao unaweza ukawa na matokeo positive na faida kwa ujumla wake
 
Hili ni moja ya kosa linalofanywa na vyama vya upinzani. Yaani kutegemea kupata legitimacy kutokana na udhaifu utakaooneshwa na ccm. Hili lilishazungumziwa huko nyuma na mifano mingi ikatolewa ikiwemo mfano wa kwamba huwezi ukaenda kwenye usaili halafu badala ya kuonesha uimara wako, wewe unaonesha udhaifu wa wenzako; utakuwa kituko. Kwa hiyo hiyo nayo bado ni changamoto hadi sasa na haitaisha kwa siku moja lakini bado niyo haifanyi hoja ya kuwa na mawazo mbadala kupoteza maana.

Kwa hiyo mawazo mazuri yanaweza kuwa juu ya namna ya kuwasaidia wenye mawazo mbadala kuwa na constructive critisims kuliko kufikiri kuwa hawatakiwi kuwepo. Hili wewe unalionaje mkuu?
Somo refu na pana sana ndugu na linahitaji uwelewa kuliko ushabiki ndiyo maana Marekani walipompata Roosverty Delano Raisi wa 32 huyu Rais alikuwa tafauti na watangulizi wake hivyo waamerika wakaweka pembeni maswala ya democrasia, mazoea na tamaduni, huyo raisi alitawala zaidi ya vipindi II na cha tatu kwenda cha IV alifia ofisini.
Hivyo utaweza kuona sisi au wapinzani wa Bongo wanatakanini ushabiki au maendeleo au kupiga dili au nini. umiza kichwa.
Tunajenga fito 1 au 2 tofauti? rudi katikati utapata majibu tu.
 
Somo refu na pana sana ndugu na linahitaji uwelewa kuliko ushabiki ndiyo maana Marekani walipompata Roosverty Delano Raisi wa 32 huyu Rais alikuwa tafauti na watangulizi wake hivyo waamerika wakaweka pembeni maswala ya democrasia, mazoea na tamaduni, huyo raisi alitawala zaidi ya vipindi II na cha tatu kwenda cha IV alifia ofisini.
Hivyo utaweza kuona sisi au wapinzani wa Bongo wanatakanini ushabiki au maendeleo au kupiga dili au nini. umiza kichwa.
Tunajenga fito 1 au 2 tofauti? rudi katikati utapata majibu tu.

Mkuu wala Delano sio tatizo. Yaani hoja hii inachosema ni kwamba; kila kitu kina kinyume chake na huo ndio mfumo wa kimaumbile iwe kwa mfumo rasmi au usio rasimi.

Kwa mantiki hiyo, hata wanaume wawe smart kiasi gani, kufikiri hawahitaji wanawake si sahihi. Hata wanawake wawe smart kiasi gani,kufikiri hahitaji wanaume si sawa.Au hata wanaume au wanawake wangekuwa na matatizo kiasi gani, bado wanahitajiana kama 'complements". Au hata chakula kiwe kitamu kiasi gani, maji ya kunywa bado ni muhimu mkuu.
 
Musa hata mimi sina shida hata na hiyo mifano sina tabu swala ni kuwa hii ni nchi tena yetu wote lakini wengine pamoja na uwezo mdogo na dhamira mayaba lakini watataka kulazimisha, na ndiyo maana mimi natofautiana na wewe hawa wapinzani wanapinga kila kitu. Na ni maombi yangu na dua kwa hawa wapinzani wanaopinga kila kitu hata kama waliwai kufanya sera yao huko nyuma lakini leo anafanya mwingie wanapinga waondke sokoni hili tupate upinzani mzuri tuweze kufanya siasa na si kubaki na cha kimoja kama tunakoelekea.
 
Musa hata mimi sina shida hata na hiyo mifano sina tabu swala ni kuwa hii ni nchi tena yetu wote lakini wengine pamoja na uwezo mdogo na dhamira mayaba lakini watataka kulazimisha, na ndiyo maana mimi natofautiana na wewe hawa wapinzani wanapinga kila kitu. Na ni maombi yangu na dua kwa hawa wapinzani wanaopinga kila kitu hata kama waliwai kufanya sera yao huko nyuma lakini leo anafanya mwingie wanapinga waondke sokoni hili tupate upinzani mzuri tuweze kufanya siasa na si kubaki na cha kimoja kama tunakoelekea.
Unazungumzia kizazi ku 'phase out' na kuja kizazi kingine hahahahahha!
 
Kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuua au kutoua, kufa au kutokufa kwa upinzani Tanzania. Ukiangalia kwa ukaribu jambo hili; kuna watu wanafikiri upinzani ukifa litakuwa jambo la faida kwa taifa, ila kiuhalisia litakuwa ni jambo la hasara kwa watu wote na pengine la hatari pia.

iko hivi;

Dunia kwa asili yake kila kitu kimeumbwa na kinyume chake.Kushoto na kulia, fikiria kusipokuwa na kushoto utajuaje kulia?Nyuma na mbele, unajua nyuma kwa sababu kuna mbele, sio?Urefu ufupi, fikiria kama hakuna ufupi utajuaje urefu?Juu na chini?

Au fikiria; Giza mwanga, Ili ujue mwanga lazima pia kuwe na giza sio? Fikiria dunia ikawa ni mchana tu au mwanga tu hakuna giza?Baridi na joto, fikiria baridi bila joto? Mvua bila ukame je? Wanawake bila wanaume? Moto bila Maji je? N.k Fikiri siku kuwe na wanaume tu bila wanawake au wanawake bila wanaume, sasa wanaume hao watajuaje kama ni wanaume au wanawake watajuaje kuwa ni wanawake?

Ni kwa msingi huo ambapo “Law of polarity” imejengeka kwamba kila kitu kina kinyume chake na vitu hivyo haviko kwa ajili ya kusuguana na kumalizana bali kujaziliziana "Complements" japo inawezekana ikatokea wakati joto likawa kali hadi linakera ila baridi nayo ikiwa kali sana tunatamani joto na vikikutana katikati hapo inakuwa sawa.

Hakuna namna ambayo watu wawili wanaweza kuwa na mawazo yanayofanana kwa kila kitu ikiwa wote wanafiri. Ukiona wanafanana, ujue mmoja kaamua kutofikiri, au kaaamua kuwa mnafiki jambo ambalo ni hatari. Suala la msingi ni kuweka mfumo ambao kutofautiana huko kwa mawazo hakuwezi kuzua matatizo lakini watu kufikiri tofauti ni jambo la kimaumbile. Moto unaweza kuchoma nyumba lakini pia moto hupika chakula. Kwa hiyo moto tunauhitaji japo inabidi kuweka mazzingira rafiki ambapo hauwezi kulipuka na kuleta madhara.

Niwashawishi wale wenye kufikiria kwamba kufa au kuuawa kwa upinzani ni jambo jema wafikirie tena usahihi wa mtizamo huo kwa mantiki ya hoja hii.

Asante wote kwa kuelewa na kutoa michango safi kujenga uelewa zaidi.
Nimependa post yako. It is intellect stimulating! Nimepata kitu kama hiki, nimependa , thanks a lot!
What Is The Law Of Polarity?
Every thought (and therefore every intention) has two components; CONTENT and ENERGY.

So, for example, when you want to manifest a new love, that raw information is the content of your intention.

Meanwhile, the energy is the power that drives that intention. It’s the energy component that is intimately bound up with the Law of Polarity, and this energy component is powerfully influenced by your subconscious.

dualism


According to the Law of Polarity, everything is dual. So things that appear to be opposites are actually two inseparable parts of the same thing. Think of hot and cold, for example; although they’re opposites, they’re actually on the same continuum and you cannot have one without the potential for the other. You can think of whatever you want to manifest in the same way. For example, abundance is inseparable from financial lack, love is inseparable from being alone, and success is inseparable from failure; each comes with the potential for its opposite.
 
Somo refu na pana sana ndugu na linahitaji uwelewa kuliko ushabiki ndiyo maana Marekani walipompata Roosverty Delano Raisi wa 32 huyu Rais alikuwa tafauti na watangulizi wake hivyo waamerika wakaweka pembeni maswala ya democrasia, mazoea na tamaduni, huyo raisi alitawala zaidi ya vipindi II na cha tatu kwenda cha IV alifia ofisini.
Hivyo utaweza kuona sisi au wapinzani wa Bongo wanatakanini ushabiki au maendeleo au kupiga dili au nini. umiza kichwa.
Tunajenga fito 1 au 2 tofauti? rudi katikati utapata majibu tu.
Kwa hiyo unataka na huyu afie ofsini?
 
Somo refu na pana sana ndugu na linahitaji uwelewa kuliko ushabiki ndiyo maana Marekani walipompata Roosverty Delano Raisi wa 32 huyu Rais alikuwa tafauti na watangulizi wake hivyo waamerika wakaweka pembeni maswala ya democrasia, mazoea na tamaduni, huyo raisi alitawala zaidi ya vipindi II na cha tatu kwenda cha IV alifia ofisini.
Hivyo utaweza kuona sisi au wapinzani wa Bongo wanatakanini ushabiki au maendeleo au kupiga dili au nini. umiza kichwa.
Tunajenga fito 1 au 2 tofauti? rudi katikati utapata majibu tu.

Tunaweza kumuongezea rais kweli mwenye uwezo wa urais na anayejua maana ya rais kwa wananchi wote, lakini sio rais anayeamini kwenye itikadi na chama chake kwanza.
 
Musa hata mimi sina shida hata na hiyo mifano sina tabu swala ni kuwa hii ni nchi tena yetu wote lakini wengine pamoja na uwezo mdogo na dhamira mayaba lakini watataka kulazimisha, na ndiyo maana mimi natofautiana na wewe hawa wapinzani wanapinga kila kitu. Na ni maombi yangu na dua kwa hawa wapinzani wanaopinga kila kitu hata kama waliwai kufanya sera yao huko nyuma lakini leo anafanya mwingie wanapinga waondke sokoni hili tupate upinzani mzuri tuweze kufanya siasa na si kubaki na cha kimoja kama tunakoelekea.

Kinachozuia huo upinzani mzuri kuanza ni nini? Au kuna formula kwanza lazima upinzani huu ufe ndio huo wakwako mzuri uanze? Ww ni wale bendera fuata upepo neno likitamkwa kila mara na ww unalibeba ili uonekane unaenda na fashion. Sasa hivi kuna kundi la kusifia limebeba neno la fashion kwamba wapinzani wanapinga kila kitu, bila kuonyesha kipi kinapingwa au kukosolewa na kwa sababu zipi. Hakuna mwendawazimu wa kupinga au kukosoa kila kitu, bali watu wanapinga na kukosoa baadhi ya mambo na sababu za msingi zipo. Tabia hiyo ni ya kibinadamu, haijaanza jana, haitaisha leo wala kesho. Jitahidi usiwe bendera fuata upepo, jenga hoja zako na sio utegemee za bendera fuata upepo kisha uzigeuze ndio hoja zako.
 
Back
Top Bottom