Kuhusu golikipa wa Simba (Lakred) na Baleke, sikubaliani na wanaosema eti walicheza vibaya

Kuhusu golikipa wa Simba (Lakred) na Baleke, sikubaliani na wanaosema eti walicheza vibaya

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Niko opposite kabisa na wanaosema kuwa Lakred ni mbovu. Kosa alilofanya katika goli la pili halifuti saves alizofanya kwa ubora kabisa. Pia nipo opposite wanaolalamika kuwa Baleke alikosa nafasi za wazi, huku hawaangalii jitihada alizofanya golikipa wa Dynamos.

Kosakosa alizofanya Baleke hazujazuka tu, zimeonekana kwa kuwa alikuwa anajitengenezea positions nzuri za kupokea mipira, na hiyo ni moja ya sifa za mshambuliaji hatari. Mtu mwingine anakaa kimya kuhusu Moses Phiri kwa kuwa hakufanya kosakosa, halafu hajiulizi kwa nini Phiri hakuwa na hizo kosakosa!

Kwangu Baleke ni bora zaidi kuliko Phiri na tabia za washabiki wabongo kumshinikiza kocha ampange Phiri wakati kocha ndiye anayewaona wachezaji mazoezini, ni ushamba na ulimbukeni

1695016030847.png
 
Baleke hajacheza vibaya, ila Baleke alizingua kakosa goli nyingi ambazo ni 90% yalipaswa kuwa goli.
So kukosa kwake goli kumeigharimu timu.

Kipa sina tabu nae kosa 1 saves kibao.
Baleke makosa kibao, angefunga timu ingeondoka na pointi.
 
Kazi ya mshambuliaji ni kufunga tu na si ku kosakosa sijui kipa hodari.
Mshambuliaji hatari ni yule ambaye haijalishi kipa ni mzuri kiasi gani atafunga tu. Hakuna kipa hodari kwa mshambuliaji hatari
Sawa ni maoni yako, maana hata Ally Salim aliokoa penati za wachezaji wabovu watatu
 
Sijui Hawa wachezaji wanafanya nini Simba...!!!!!!

1. AYOUB Lakhadel
2. Luis MIQUISSONE.
3.Aubin Kramo.
4. Eusomba Onana.
5. Sadio Kanute.
6. Moses phili.

( Saido na Malone wapambane sana)
 
Baleke.
Chama
NGOMA walikuwa wazuri mno

Pleasing aliyoifanya Baleke ilikuwa moto kweli kweli.

KIBU ajitahidi kutumia Akili kuliko NGUVU, ANATAKA Kila pahala kupiga shuti.
(Kama anapiga apige on target)
 
Sawa ni maoni yako, maana hata Ally Salim aliokoa penati za wachezaji wabovu watatu
Ally Salim hana cha kujivunia kwakua dunia yote imeona alivyo vunja taratibu mbele ya mwamuzi na Adhabu walizopewa waamuzi ni kutoitwa kuchezesha Afcon.

Kwasasa hakuna mwamuzi anaye chezesha kwa haki atamwamini Ally ikiwa inatokea pigo la penalty dhidi yake.


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sijui Hawa wachezaji wanafanya nini Simba...!!!!!!

1. AYOUB Lakhadel
2. Luis MIQUISSONE.
3.Aubin Kramo.
4. Eusomba Onana.
5. Sadio Kanute.
6. Moses phili.

( Saido na Malone wapambane sana)
malone naye?
Kwahio umependa Pleasing ya baleke?
 
Sijui Hawa wachezaji wanafanya nini Simba...!!!!!!

1. AYOUB Lakhadel
2. Luis MIQUISSONE.
3.Aubin Kramo.
4. Eusomba Onana.
5. Sadio Kanute.
6. Moses phili.

( Saido na Malone wapambane sana)
Sasa hii si timu nzima
 
Back
Top Bottom