clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kabla ya hapo waliwahi kuitwa kuchezesha Afcon????Ally Salim hana cha kujivunia kwakua dunia yote imeona alivyo vunja taratibu mbele ya mwamuzi na Adhabu walizopewa waamuzi ni kutoitwa kuchezesha Afcon.
Kwasasa hakuna mwamuzi anaye chezesha kwa haki atamwamini Ally ikiwa inatokea pigo la penalty dhidi yake.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yeah waliwahiKwan kabla ya hapo waliwahi kuitwa kuchezesha Afcon????
Phiri hakuna kitu tuache kuuma maneno jamaa kaishaPhiri is the best.