Kuhusu golikipa wa Simba (Lakred) na Baleke, sikubaliani na wanaosema eti walicheza vibaya

Kwan kabla ya hapo waliwahi kuitwa kuchezesha Afcon????
 
Kinachoniuma ni upande wa konde boy ,jamaa kaflopp sana aisee ,mpira Bado umo ila mwili na Kasi vinamsalit sana.
Jamaa apige sana tiz awe mwepes arud zama zake .
Kocha ampe dakika 30 Kila game hope atarejea kwenye ubora wake ila mbali na hapo Sion jipya toka kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…