Ally Salim hana cha kujivunia kwakua dunia yote imeona alivyo vunja taratibu mbele ya mwamuzi na Adhabu walizopewa waamuzi ni kutoitwa kuchezesha Afcon.
Kwasasa hakuna mwamuzi anaye chezesha kwa haki atamwamini Ally ikiwa inatokea pigo la penalty dhidi yake.
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app