Mema Aliyotenda Agha Khan kwa Tanzania yanazidi Almasi Kilo Mia Mbili.Ninaona walikwepa sifa hii "his playboy father"! Na almasi alizokomba Tanganyika zenye uzito sawa na uzito wake! Hapa ingebidi uzidai hizo almasi zirudishwe nchini kuliko hilo dai lako lisilo na tija.
Hivi kwa neno Nyang'au ,Mwl Nyerere alimaanisha nn?tuanzie hapoNini faida na hasara ya kuficha habari? We are talking about biases of one country, who are pretending to be patriotic. It is a piece of history, huelewi maana yake kwa sababu bado upo gizani? Kwani wanavyosema Mlima Kilimanjaro upo Kenya ni nini faida au hasara? Wakati mwingine tumia akili kidogo tu itakusaidia.Kuna siku hata moja hao Kenya wamewasema kwa uzuri?
Huelewi unachoongea fala wewe.Kwani wewe unashindwa kufanya hadi wakenya wakufanyie? Farabu wee.
Acha ushamba wewe kima.Huelewi unachoongea fala wewe.
Haha..... Huyu kilaza dada yake asipompost siku ya birthday yake atanuna mwaka mzima. Unalalamika wakenya kutokupost Aga Khan kufa?Kuna mambo ya msingi zaidi ya hayo, hilo ni jambo petty tu.
Faida ni ujiko wa Tanzania yetu kuhusishwa na mwanamfalme ambaye ni mwana ukoo wa mtume Muhammad.Ni nini faida ya kutaja au hasara ya kutotaja Dar na Tanzania katika historìa yake?
Almasi siyo dhahabu.Mema Aliyotenda Agha Khan kwa Tanzania yanazidi Almasi Kilo Mia Mbili.
Apumzike kwa Amani.
Sasa nyie media zenu zimetangaza nini kuhusu agakhanHao nyemelezi ndivyo walivyo. Kwanza, hawajiamini, pia wana roho mbaya na uroho visivyomithalika. Kama wanaweza kudai Mlima Kilimanjaro uko kwao, watasaza nini manyang'au?
Wanalalamika wkt media zao kutwa kutangaza mambo ya uchawa,umbea stpri za Uchu mondi nabtktk zingineWaafrika wengine wanaweza kulalamika bila hata aibu kuwa CNN haitangazi habari za Africa 😂😂😂.
RIP H.H Aga Khan. Article Don.
Ujinga mtupu.Wanalalamika wkt media zao kutwa kutangaza mambo ya uchawa,umbea stpri za Uchu mondi nabtktk zingine
Ova
NothingNi nini faida ya kutaja au hasara ya kutotaja Dar na Tanzania katika historìa yake?
Media watangazaji Bora ni kitenge na masanja wakichambua vichwa vya habari vya magazeti.Sasa nyie media zenu zimetangaza nini kuhusu agakhan
Media asubuhi mpk usiku ni miziki,mipira udaku umbeaaa
Ndicho wanachojuwa
Wakenya wako vzr kwenye mambo ya propaganda je sisi media zetu zinaweza hizo kuzijibu
Ova