BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Noma sana miaka 32 unatoka na milioni 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakera kweli mkuu, Watu wametumikia taifa kwa uaminifu wakizeeka wanapuuzwa!Kuna wale walistaafu miaka ya 2000, kuna mzee nilikutana nae analalamika monthly payment ni kiduchu mno
Hili tatizo la wafanyakazi wengi wa UmmaKama Ni polisi alipwe hata milioni tano tu zinamtosha.
Hawa wajinga ndiyo wanaiweka CCM madarakani halafu linakuja kubwabwaja humu.
Kumbafu!
Kura sio njia Pekee ya kupitisha uamuzi, Imagine walimu wote wa Mikoa yote wakikutana na kufanya protest! Maana uchaguzi ni kila baada ya miaka mitanoUpo sahihi.
Watanzania: 60M
Watanzania miaka 18+: 35M
Watumishi wa umma + wastaafu: < 2M
Hivyo watumishi wa umma peke yao hawana impact kwenye sanduku la kura.
However, Never underestimate their power. Mtumishi mmoja minimum ana watu 10 wanaomtegemea (familia,ndugu, jamaa, marafiki).
Polisi wajue wao ni binadamu pia na kwmb mambo wanayoyafanya kw kisingzio ch klinda usalama na baadhi kuonea wa2, bla huruma, yanaudhi waTz wengi - wajue nao pia, ukiacha mabosi wao ni wahanga wa huo mfumo mbovu ambao ndo unaolalamikiwa, kwmb watakapostaafu, ukiacha mabosi, watakuwa wahanga pia. Wakmbke unapokuwa juu, kumbka walio chn kwani utapokua unashuka utawakuta. Pamja na hayo, bunge la Tz limejidhihirisha ni la hovyo ktk ku-deal na mambo y aina hii. Mtu asihangaike nao, hasa hawa kina Wait-R waliofuata posho bungeni, haitasaidiaHuyo polisi huenda ni yule wa anaetoka chumbani Kwa mama Yako na taulo ndio baba Yako!!
Binafsi licha ya kuwa nitalipwa hiyohiyo ila siwezi kumuonea huruma polisi labda nife nizaliwe upya!
Inamaana hiyo 18m ukigawa kwa miaka 32 ni kama buku jero kwa cku[emoji1787][emoji1787]Mungu anawaona Serikali ya CCMNoma sana miaka 32 unatoka na milioni 18
MKUU CCM NI MAJAMBAZI YASIO NA SILAHA NI MAJITU KATILI SANAKabla sijasema lolote kila mmoja asome huu ujumbe wa mstaafu mmoja wa jeshi la polisi akigugumilia maumivu ya kikokotoo alioutuma kwa aliyekuwa mbunge mstaafu wa Jimbo la Tarime vijijini (CHADEMA) ndugu John Heche na kuuposti Instagram page yake...
Mimi umeniumiza sana na nimeamua kuuleta kwenye jukwaa hili ili tujadili...
View attachment 2816618
✍️Ujumbe huu uko very clear kuwa unahusu kikokotoo cha 33.33% cha mafao ya watumishi umma wastaafu..
✍️Ni wazi pia kuwa kikokotoo hiki, hakiwahusu watumishi wa kada za kisiasa kama;
√ Rais wa nchi.
√ Makamu wa Rais.
√ Waziri Mkuu.
√ Spika wa bunge.
√ Jaji Mkuu
√ Mawaziri.
√ Makatibu wakuu wa wizara..
√ Wabunge nk nk.
✍️Lakini ni ajabu kuwa hili kundi la watu (wanasiasa) hao hapo ☝️☝️juu ndio wanajipangia wajilipe mafao kiasi gani na kwa kanuni ipi. Na pia ndio wanaowapangia wengine kama walimu, makaktari, manesi, makarani nk nk walipwe vipi na kwa kanuni ipi.
Mpaka hapo, unaweza kuona kuwa, kwa utaratibu na mfumo huu, basi kamwe hakuwezi kuwa na fairness yoyote ktk kugawana keki hii ya taifa!!
✍️Hebu sasa tumjadili huyo polisi hapo juu. Kafanya kazi kuitumikia nchi hii kwa miaka 32. Hivi kweli ni sahihi kumpa mafao ya kustaafu ya Tshs. 18,000,000 tu? Hivi huyu hata mshahara wake unaweza kuwa ulikuwa shilingi ngapi eti?
✍️Hebu endelea kufikiri zaidi. Kuwa, usawa uko wapi iwapo mtu mmoja mwanasiasa mwenye cheo cha ubunge tu. Tena aliyepata ubunge huo kwa rushwa au kuiba kura.
Huyu anakaa bungeni miaka mitano halafu siku hiyo hiyo bunge linapovunjwa bila jacho wala kuhangaishwa kuambiwa leta nyaraka hii au ile ili ulipwe mafao lakini jioni anakuta kwenye Bank A/C yake TZS 350,000,000 kama mafao yake ya ubunge kwa miaka 5 tu???
Hivi hii inaingia akilini kweli hii?
✍️Hebu Rais Samia Suluhu Hassan na serikali kwa ujumla na hususani CCM yako oneni hata aibu kidogo basi. Wote tuna akili na tunaona. Hii haiko sawa!!
Hii siyo sera nzuri hata kidogo. Ni sera iliyoleta utaratibu wa kikandamizaji na kinyonyaji usiokubalika hata kidogo ktk jamii iliyostaarabika...
Hebu rudisheni kikokotoo cha zamani japo hata hicho nacho kilikuwa hakifai vilevile..
Kimsingi unaona ni sawa mtu afanye kazi miaka 20,aje alipwe milioni 18?Polisi aliyelalamika kwamba amefanya kazi jeshi la polisi kwa miaka 32 lakini ameambulia kiinua mgongo cha 18m. Kimsingi huyo polisi amefanya kazi ya ajira polisi kwa miaka 20 tu sio 32 kwa sababu polisi hufanya kazi ya mktaba wa miaka mitatu mitatu kama hajafanya kosa la kimaadili au kujiendelza akavuka daraja la vyeo vya chini vinavyovaliwa mkononi ndani ya miaka 3*4 awamu nne basi hukosa sifa ya kuendelea kusajiliwa kuendelea. Kwa hiyo kiufupi miaka 12 ya kwanza ni kama kibarua tu ndio maana unapowaona huko mitaani au barabarani wakichachalika wanatengeza kesho yao wasiyoijua (They do not have guaranteed job security)..
Tanzania tuna wajinga na wapumbavu wengi sana .Kama Ni polisi alipwe hata milioni tano tu zinamtosha.
Hawa wajinga ndiyo wanaiweka CCM madarakani halafu linakuja kubwabwaja humu.
Kumbafu!
Kiinua mgongo kinaendana na mshahara aliostaafu nao mtumishiKimsingi unaona ni sawa mtu afanye kazi miaka 20,aje alipwe milioni 18?
Aisee,kua na huruma.
Political Apathy,😅 usipo jihusisha na Siasa,Siasa itakuhusisha Kwa njia tofauti watanzania TuamkeBado utasikiaki kuna watu wanasema, "siasa hazinuhusu"
Naisubili kwa hamu Sana hiyo siku!Kuna siku sio nyingi CCM na serikali yake watashitukizwa kwa matukio mabaya kama Israel ilivyoshitukizwa na utawala wa Hamas Ukanda wa Gaza.
Trend ya mienendo ya viongozi ndio itakayoleta vurumai hizo ijapokuwa haamini kama hiki nikisemacho kitatokea lakini kwa kuzama ndani kwa kutumia 'Emotional Intelligence' wananchi na baadhi ya watumishi wahanga wa udhalimu ' they no longer care about losing physical life other than upholding spiritual standing in a just and balanced moral standards.