Kuhusu kitendo alichokifanya Kelvin Yondani dhidi ya Asante Kwasi

Amini hujui usemacho
Haya taja mwenye nidhamu utuambie tumfananishe na mpira wa asia au America
 
1.Yeye ndiye mtu mzee sana kupita wote katika mchezo wa leo na yawezekana kwa wachezaji wote Tanzania

2.Alitakiwa awe ndio kiongozi wa busara na kwarekebisha wadogo zake wanapofanya kosa

3. Najua kwa nidhamu ile mbovu hatarajii chochote kwenye maendeleo yake ya kisoka ukijumlisha na umri wake

4. Amefanja jambo ambalo sii baya tu kwa clabu yake lakini hata kidiplomasia sii zuri kwa dharai ile aliyoionyesha kwa mchezaji wa TAIFA la kigeni ambaye hakumkosea chochote na hata baada ya kitendo kile yule mchezaji hakumjibu kwa ubaya zaidi alikwenda kumstaki kwa refa.

5. Haya mambo ni ya kizamani sana ambapo sikutarajia nilichokiona leo kwa karnr hii ambayo soka limeshaa toka kwenye uhasama na kubaki ni taaluma inayoongozwa na " FAIR PLAY" concept

6. Huyu mchezaji afutwe kabisa kwenye suala la uchezaji akafanye kazi nyingine hata za kusukuma toroli maana kwa kitendo kile anaonekana hana proffession nyingine zaidi ya mpira ambao sasa unaisha kutokana na umri ndio maana anafanya vitu vya ajabu
 
Hivi utafananisha mpira wa ulaya na tanzania? Mfano ronaldo akikosea unataka na mchezaji wa tanzania akosee?

Endeleeni kuwatia ubovu wachezaji wenu watazeekea Simba na Yanga.

Usiku mwema.
we unataka wazeekee wapi mbna Dinho alikuwa fear na anazeekea Mexico[emoji1] [emoji1]

Au Ulay hawazeeki??

Harry Kane hana kombe hata la Mmbu wa malaria, n anazeekea Tottenham we huwazi Yondan ana makombe Mengi kama Ramos.
 


Njoooooo na wewee akutemeee
 
Kamati ya masaa 72 itoe adhabu kali kwa Yondani
 
hayo ndiyo mapungufu, kwani wewe hujawahi kufanya ukorofi uwanjani??? Yaani mimi nilikuwa nawapiga hadi ngumi mtu akija kunikaba
Unachotetea ni nini sasa? Au ndo mlimwanbie afanye hivyo?
Sasa kama mmewatuma shauri yenu ndo mana wachezaji wenu wako kwenye hati hati ya kupewa adhabu kutkna na vitendo mnavyowafundisha visivyo na nidhamu! Chirwa na huyo Yondani
 
Kheri lawama kuliko fedhea

Safi sana Yondani tena ungemzaba kibao kabisa
 
Unachotetea ni nini sasa? Au ndo mlimwanbie afanye hivyo?
Sasa kama mmewatuma shauri yenu ndo mana wachezaji wenu wako kwenye hati hati ya kupewa adhabu kutkna na vitendo mnavyowafundisha visivyo na nidhamu! Chirwa na huyo Yondani
Yaani we unataka Yondani apewe adhabu mi sitaki sasa
 
Mleta mada ni mpumbavu na mpuuzi. Unajua sababu za Yondani kufanya vile au unakurupuka tu uonekane na wewe mchambuzi?
Hii inanikumbusha Zidane alimpiga kichwa jamaa lkn alipotoa utetezi wake ulikuwa na mashiko,usikurupuke kutoa hukum utakuwa mpumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…