Kuhusu kitendo alichokifanya Kelvin Yondani dhidi ya Asante Kwasi

Kuhusu kitendo alichokifanya Kelvin Yondani dhidi ya Asante Kwasi

Mleta mada ni mpumbavu na mpuuzi. Unajua sababu za Yondani kufanya vile au unakurupuka tu uonekane na wewe mchambuzi?
Hii inanikumbusha Zidane alimpiga kichwa jamaa lkn alipotoa utetezi wake ulikuwa na mashiko,usikurupuke kutoa hukum utakuwa mpumbavu
Jinga la karne wewe
 
Ukiingia kwenye anga za "NYOSO" lazima akufanyie kitu mbaya 😀😀
 
Ndio mana Wanaishiaga hapa hapa baada ya miaka 3 wanakwisha wakiugua hata malaria wanaomba msaaada kujitibu.

Huwezi kuwa mchezaji mkubwa bila kwanza kuwa na nidhamu unatemea watu mimate hovyo kama una mimba hovyooo....jinga mibange tu
 
Unafananisha mpira wa Ulaya na Tanzania waendelee kuwa na nidhamu mbovu wataona watafika wapi?

Yupo wapi Juma Nyosso? Nidhamu ni kila kitu kiukweli kanishangaza sana na ninashangaa nikiona mtu anasupport kitu alichokifanya kisa tu anachezea team anayoshabikia.
we jamaa unanichekesha balaa, hutaki tufananishe mpira wa ulaya na Tz hapo hapo unataka afike mbali (ulaya ) nidhamu ingekua kila kitu balotel, suarezi, ramosi, wasingekuwa mbali
 
Yale sio mate.
Alitema Kohozi zito.

Pole Asante Kwasi

Tafadhari kapime afya yako, huenda umeambukizwa Bakteria au Virusi vya maradhi.

Huu mchezo hauhitaji hasira.
 
we jamaa unanichekesha balaa, hutaki tufananishe mpira wa ulaya na Tz hapo hapo unataka afike mbali (ulaya ) nidhamu ingekua kila kitu balotel, suarezi, ramosi, wasingekuwa mbali
Kwanza mimi sio jamaa, ni mama.

Pili, baloteli kazaliwa ulaya unadhani atachezea wapi? Wachezaji wa kiafrika ndoto yao kubwa ni kuchezea ulaya, ndiyo maana nakuambia usifananishe ulaya na tanzania wenzetu wapo mbali sana.

Huko Ulaya ambako hata Yondani anatamani apate team achezee asitegemee kufika kwa nidhamu mbovu kiasi hicho.

Tafadhali ukinijibu tena nijibu na pointi.
 
khata ulaya matendo hayo hutokeo suarezi, costa, balotel wamekuwa na utovu wa nidhamu

Yondani yuko vizuri, alichezewa vibaya mara 2-3 ila akadhibiti hasira zake naona mwisho alishindwa akamtemea mate.
.mie nilijua atamkata na vibao kabisa
Yondani afungiwe games tano

Soka sio pants road
 
Makohozi FC....... wakati wao wanatutemea mate sisi tunawatemea magoli!!
 
Makohozi FC....... wakati wao wanatutemea mate sisi tunawatemea magoli!!
Kausheni basi mbona mnalalama kifala!. Au ndo mgumba akipata mimba anataka mji mzima ujue kuwa kadaka mimba? Yaan simba hizi kelele kwa kupata ubingwa baada ya miaka 5?. Aiseeee tuna shida mtaani leo sie mabingwa Mara 3 mfululizo
 
mi hilo tukio nilienda Mechi ikiwa iko mbali sana, Yondani hakoseagi ndio maana katoka hana kadi hata moja. Hii inadhihirisha Ana nidhamu ya hali ya juu sana.

Yanga wakimuuza au kumtema wasitegemee kupata mwingine maana Hamna beki tena wa kiwango kile
Unasema Yondani ana nidhamu ya khali ya juu! Dah
 
angekuwepo boban unafikiri angemfanyia kitendo hicho hawa wachezaji inabidi wapimwe kabla ya mechi ndio maana ni wa hapahapa timu gani inaweza kumchukua mchezaji kama yule
hata kadi nyekundu aliyopata kesy ni ya kijinga lakini utaona bado kuna watu wanamtetea
 
Ni ajabu sana kukuta wanamichezo wa tasnia hii ya soka kutetea upuuzi uliofanywa na Yondani kwasababu tu ya ushabiki wa Simba na Yanga.

Hakuna anaebisha kua Kelvin ni beki mwenye uwezo Mzuri kwenye ligi yetu hii isiokua na ushindani Mkubwa,

Na uzoefu wake umeendelea kumsaidia kua Kati ya mabeki bora kabisa wa kuigwa na vijana mbele ya mabeki wengine kama Nyoni n.k

Hivyo kwa hayo anayomiliki ukiongezea kua ni kiranja wa wenzake uwanjani alipaswa kua mfano bora zaidi hasa kwenye mechi Kama hii inayomulikwa na tochi nyingi ulimwenguni.

Kumtetea sababu tu ya ushabiki wa Simba na Yanga ni kuuvunjia heshima mpira.
 
Msiwaharibu wachezaji wenu nidhamu ni kitu muhimu sana, mechi ilikua inaruka live hivi hata kama kuna team ilikua inamfuatilia unadhani itaendelea naye?

Wajifunze kwa Samatta na Ulimwengu huwezi kuona wanafanya vitu vya kijinga kama hivyo.
We nae mpira ulicheza wapi? Hukuona huyo kwasi alichomfanyia Yondani mpaka kureact vile? Acheni viherehere kudandia mambo msiyo yajua...wengine nyie ni wajuzi wa kulala chali and nothing else.
 
Back
Top Bottom