Sasa mambo ya kutema mate ana mimba? angesema watu wamletee ndimu na maembe mabichiOngeeni yooooote. tz hakuna beki bora kama Yondani, Ushahidi wote mnao. Huyu jamaa mpira anaujua Mengine ni mapungufu tu kila mtu na yake. Hata Ronaldo ni bora ila anaongoza kujiangusha Dunia nzima.
[emoji106]ushahidi mnao au mnalala naye hadi mjue..by the way mnaondoka kwenye mada mnaenda kwa ronaldo...ukweli utabaki pale pale alichofanya kwanza ni upuuzi mkubwa sana na ameonesha dharau ya ain yake kana kwamba amewatemea na TFF mana aalidhani kamera zimelala..nidhamu ya mpira inaongozwa na nidhamu ya mtu binafsi ...kama huwez kujiheshimu na kuwaheshimu binadamu wenzio hata mpira unaocheza hauna faida ..sasa heshima yako unayodai umejijengea eti unaitwa beki bora kumbe ni kondoo aliyevaa ngozi ya chui...na huyu nawahakikishia anafungiwa, ameiaibisha tasnia ya soka nchini, ameiabisha familia yake na amejiaibisha yeye mwenyewe ...ovyo kabisa
Kuanzisha au Kutokuazisha tafrani hakujustify ‘upuuzi’ na ‘umbwiga’ alioufanya Kelvin. Hili linatakiwa likemewe na wapenda michezo wote.Ukiangalia vizuri ile clip utaona dhahiri kabisa kwasi ndiyo aliyeanzisha tafran, kwa kuanza kumbughidhi kipa wa yanga pasipo sababu na ndiyo maana hata alipokimbilia kwa refa alipuuzwa!
Michezo napenda na sikemei hili we ombea tu mwenzio afungiwe badala uwaze yako, wapenda michezo wa leo bhana[emoji12] [emoji12] [emoji12]Kuanzisha au Kutokuazisha tafrani hakujustify ‘upuuzi’ na ‘umbwiga’ alioufanya Kelvin. Hili linatakiwa likemewe na wapenda michezo wote.
I don't argue with fools. Baki na mtazamo wako.Michezo napenda na sikemei hili we ombea tu mwenzio afungiwe badala uwaze yako, wapenda michezo wa leo bhana[emoji12] [emoji12] [emoji12]
I don't argue with stupid baki na halisia wako.I don't argue with fools. Baki na mtazamo wako.
Anapaswa kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu
Umeweka video gani?Hatari sana
Duh, nili download wrong video aisee,Umeweka video gani?
Kufungiwa mechi zote zilizibaki na kulipa faini.Kama zipi
khata ulaya matendo hayo hutokeo suarezi, costa, balotel wamekuwa na utovu wa nidhamu
Yondani yuko vizuri, alichezewa vibaya mara 2-3 ila akadhibiti hasira zake naona mwisho alishindwa akamtemea mate.
.mie nilijua atamkata na vibao kabisa
mpira ni starehe ulaya mkuu sisi tunapoteza muda lini mpira umeanza kuwa starehe kwetu wakati umejaa ushirikina na upuuzi na mfanano wake.HATA ULAYA WANAUME WANAOLEWA . WE UPO TAYARI KUOLEWA? KAMA ULAYA WANAFANYA USHENZI SI LAZIMA NA HUKU WATU WAFANYE... UTAMADUNI WETU AFRIKA NI KUHESHIMIANA NA MPIRA NI STAREHE,NI FURAHA N.K SASA ALIFAIDIKA NA NIN? ZAIDI AMEDHARAULIKA MWENZIE HAKUMTUKANA HAKUMPIGA ANASEMA AMEMWACHIA MUNGU TU.YEYE ALIENDA KUCHEZA MPIRA... tuwe waungwana.... Nmeandk kwa sauti kubwa sababu tukitafuta justification tunakosea sana. Amekosea
Mkuu Suarez mpk Leo anaendelea kung'ara pamoja na kufanya kitendo hicho.Ni mpuuzi mno ameiharibu cv yake ya kimichezo