Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kwani mimi ni mchezaji wa mpira, na sio kila mchezaji ana tabia kama ya Yondani, ama yako, ya kibangi bangi.hayo ndiyo mapungufu, kwani wewe hujawahi kufanya ukorofi uwanjani??? Yaani mimi nilikuwa nawapiga hadi ngumi mtu akija kunikaba