Kuhusu kufatwa PM na kuombwa

Kuhusu kufatwa PM na kuombwa

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
9,748
Reaction score
26,238
Maxence Melo naomba mwongozo.

Mimi ni muhanga wa kufatwa pm na kuombwa kusapoti kupigia kura (wenyewe mnasema ku-vote) mada ya wadau wanaoshiriki shindano la story of change. Na kiukweli sina roho mbaya kihivyo kwahiyo nikawa natoa vote za kutosha tuu kwa walionijia tena sometimes bila hata kusoma story yenyewe. Na hapa nafikiri tupo wengi tunaogawa tu vote baada ya kufatwa huko inboxini.

Sasa nipe mwongozo kwa haya maswali yangu.
1. Je huku kuombwa sapoti kunaruhusiwa kulingana na masharti ya shindano?
2. Kama ni ruksa Unafikiri kuna uhalali wa kura zinazopatikana baada ya mshiriki kuomba sapoti na akapewa?
3. Kama sio ruksa, je tunaweza tukaziweka katika kundi la kuomba rushwa ya kujuana?

Maswali mengine yatatokana na majibu nitakayopewa.
BY THE WAY MWAKA HUU NA MIMI NIMEHAMASIKA KUSHIRIKI - SO NAOMBENI SAPOTI YENU

Tai Dume
 
Sasa ushapiga kura kibao halafu ndio unaomba mwongozo? Ngoja waje wajuzi zaidi
Mkuu nilikuwa sitilii maanani hilo shindano, kwa kuwa mwaka huu nimehamasika basi nikaona niwe serious kidogo kupata abcd
 
Maxence Melo naomba mwongozo.

Mimi ni muhanga wa kufatwa pm na kuombwa kusapoti kupigia kura (wenyewe mnasema ku-vote) mada ya wadau wanaoshiriki shindano la story of change. Na kiukweli sina roho mbaya kihivyo kwahiyo nikawa natoa vote za kutosha tuu kwa walionijia tena sometimes bila hata kusoma story yenyewe. Na hapa nafikiri tupo wengi tunaogawa tu vote baada ya kufatwa huko inboxini.

Sasa nipe mwongozo kwa haya maswali yangu.
1. Je huku kuombwa sapoti kunaruhusiwa kulingana na masharti ya shindano?
2. Kama ni ruksa Unafikiri kuna uhalali wa kura zinazopatikana baada ya mshiriki kuomba sapoti na akapewa?
3. Kama sio ruksa, je tunaweza tukaziweka katika kundi la kuomba rushwa ya kujuana?

Maswali mengine yatatokana na majibu nitakayopewa.
BY THE WAY MWAKA HUU NA MIMI NIMEHAMASIKA KUSHIRIKI - SO NAOMBENI SAPOTI YENU

Tai Dume
Shuleni ulikuwa monitress na ukawa mnoko kuliko hata mwalimu wa zamu aisee🤣
 
Sidhani kama zile kura zinatumika kutafuta mshindi
 
Kama hutaki usumbufu funga PM
Soma bandiko langu vizuri, sijasema nasumbuliwa na hilo, safari hii nataka nishiriki hivyo nataka kujua kama ni inaruhusiwa na wandaaji ama la? Huwa napenda kuwa genuine kama hairuhusiwi simfati mtu pm, ila kama inaruhusiwa asee nitakufata pm mkuu
 
Soma bandiko langu vizuri, sijasema nasumbuliwa na hilo, safari hii nataka nishiriki hivyo nataka kujua kama ni inaruhusiwa na wandaaji ama la? Huwa napenda kuwa genuine kama hairuhusiwi simfati mtu pm, ila kama inaruhusiwa asee nitakufata pm mkuu
Kwa ninavyojua PM unaruhusiwa kumfata yeyote humu. Kua huru mkuu
 
Back
Top Bottom