Kuhusu kuhama taasisi

Kuhusu kuhama taasisi

Teremaro

Member
Joined
Mar 18, 2022
Posts
29
Reaction score
26
Habari ndugu wanajamiii forum, mimi ni mtumishi wa taasisi fulani ya serikali, nilipata nafasi ya kuhamia katika taasisi fulani hapa nchini na barua yangu ilipitishwa na mwajiri wangu, Ila Sasa barua tangu nimetuma utumishi hadi sasa sijajibiwa na kila ukiuliza wanajibu inashughulikiwa, wadau naombeni msaada wenu nifanye kitu gani niweze kupata msaada kwa urahisi.
 
Bila kutaja taasisi nafikiri ni vigumu kupata ushauri mzuri
 
Habari ndugu wanajamiii forum,mm ni mtumishi wa taasisi fulani ya serikali, nlipata nafasi ya kuhamia katika taasisi fulani hapa nchini, na barua yangu ilipitishwa na mwajiri wangu, Ila Sasa barua tangu nimetuma utumishi had Sasa cjajibiwa na kila ukiuliza wanajibu inashughulikiwa, wadau naombeni msaada wenu nifanye kitu gani niweze kupata msaada kwa urahisi
Siku hizi watu wanakula kwa urefu wa kamba.. vipi umewaongezea urefu wa kamba ama unajifanya hujui kinachoendelea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Barua huwa zinachukua muda mrefu wanadai wanashughulikia kuwa mvumilivu mimi yangu ilichukua muda mrefu mwaka mzima na kidogo
Mtu akiwa na dharura inakuwaj mkuu au mtu anaweza fuata utaratibu gan ili kupata msaada manake nna dharura ambayo inanilazim kuwepo sehem husika
 
Mtu akiwa na dharura inakuwaj mkuu au mtu anaweza fuata utaratibu gan ili kupata msaada manake nna dharura ambayo inanilazim kuwepo sehem husika
May b utafute tu mtu akupambanie huko juu mi nilisubr tu
 
Habari ndugu wanajamiii forum, mimi ni mtumishi wa taasisi fulani ya serikali, nilipata nafasi ya kuhamia katika taasisi fulani hapa nchini na barua yangu ilipitishwa na mwajiri wangu, Ila Sasa barua tangu nimetuma utumishi hadi sasa sijajibiwa na kila ukiuliza wanajibu inashughulikiwa, wadau naombeni msaada wenu nifanye kitu gani niweze kupata msaada kwa urahisi.
NDugu unashindwa hta kusema imechukua muda Gani tangia utume?? KMa uko ndan ya miez sita sio mbaya. Endelea kusubir
 
Kuna mtu anaitwa XYZ ukiwa na ABC hiyo barua unaipata ndani ya siku 5 nimetumia ABC na XYZ kama ww ulivotumia kampuni flani,mpigie mhagama akufanyie wepesi mkuu
 
Njia uliyofanya hadi Ukahamishwa Taasisi ndio Itakusaidia,Kumbuka vizuri kama umesahau.
 
Back
Top Bottom