Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,044
Heshima kwenu Wakuu!
Naomba kujua kuhusu kundi hili miondoko ya "kufokafoka" lililowahi kuwika sana miaka ya 90 bado lipo? Na kama kundi halipo je, wasanii wake bado wangalipo duniani? Pia kama ningependa kufahamu kuhusu msanii wa miondoko hiyo pia kwa jina Coolio. Naye alikuwa nguli miaka hiyo. Naomba mnijuze wadau..!
Naomba kujua kuhusu kundi hili miondoko ya "kufokafoka" lililowahi kuwika sana miaka ya 90 bado lipo? Na kama kundi halipo je, wasanii wake bado wangalipo duniani? Pia kama ningependa kufahamu kuhusu msanii wa miondoko hiyo pia kwa jina Coolio. Naye alikuwa nguli miaka hiyo. Naomba mnijuze wadau..!