Kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta, wabunge na Serikali wajiridhishe na facts

Kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta, wabunge na Serikali wajiridhishe na facts

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Zinaweza tajwa sababu nyingi sana na visingizio vinavyowekewa fake justifications.
kamwe tusikubali.

Mimi nitahoji idadi ya fuel stations zilizoanza chini ya miezi sita iliyopita na namna gani zinalink na wafanyabiashara wakubwa wa mafuta.je kwa nini zilianzishwa ghafla na kwa nini tupo hapa leo?
Mhe.Rais apelekewe facts na sio visingizio vya uongo uongo.
je kuna wafanyabiashara waliojipanga kutukomesha na kujineemesha??

msimamo wangu
-Kodi zibaki pale pale
-Wafanyabiashara wahuni wadhibitiwe vilivyo kwani wanatengeneza sintofahamu kwa maslahi yao.
-Taasisi ya Urais isitishwe na isimame na umma!

Covid 19 ilihimiliwa vilivyo sembuse vita vya ukraine?

Ni nani anayetaka kumuonesha Rais Samia hatoshi?
Jibu ni wale wale wahuni...lazima wadhibitiwe vilivyo!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Kama wafanyabiashara wakila dili na wenye maamuzi je!
 
Yaani ndo nimejua kuwa kodi ya mafuta Ni kubwa kuliko gharama za manunuzi na usafiri hadi dar!
 
Hivi hiyo bei ya mafuta na kupanda bei kwa bidhaa nyingine ni kwa Tanzania tu au? Nadhani serikali haijaweza kuwasiliana vizuri wananchi wake, vinginevyo hali iliyoko ingepata upokeaji mzuri tu kutoka kwa wananchi.
 
Wabunge wengi wanamiliki masheli, malori na mabasi ya mkoani. Lazima watetee matumbo yao. IYKYK
 
Zinaweza tajwa sababu nyingi sana na visingizio vinavyowekewa fake justifications...
kamwe tusikubali.
mimi nitahoji idadi ya fuel stations zilizoanza chini ya miezi sita iliyopita na namna gani zinalink na wafanyabiashara wakubwa wa mafuta.je kwa nini zilianzishwa ghafla na kwa nini tupo hapa leo?
Mhe.Rais apelekewe facts na sio visingizio vya uongo uongo.
je kuna wafanyabiashara waliojipanga kutukomesha na kujineemesha??

msimamo wangu
-kodi zibaki pale pale
-wafanyabiashara wahuni wadhibitiwe vilivyo kwani wanatengeneza sintofahamu kwa maslahi yao.
-Taasisi ya Urais isitishwe na isimame na umma!

covid 19 ilihimiliwa vilivyo sembuse vita vya ukraine?

Ni nani anayetaka kumuonesha Rais Samia hatoshi?
Jibu ni wale wale wahuni...lazima wadhibitiwe vilivyo!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
CCM ina wenyewe , nimeangalia majina ya wenye ccm wewe haumo
 
Zinaweza tajwa sababu nyingi sana na visingizio vinavyowekewa fake justifications...
kamwe tusikubali.
mimi nitahoji idadi ya fuel stations zilizoanza chini ya miezi sita iliyopita na namna gani zinalink na wafanyabiashara wakubwa wa mafuta.je kwa nini zilianzishwa ghafla na kwa nini tupo hapa leo?
Mhe.Rais apelekewe facts na sio visingizio vya uongo uongo.
je kuna wafanyabiashara waliojipanga kutukomesha na kujineemesha??

msimamo wangu
-kodi zibaki pale pale
-wafanyabiashara wahuni wadhibitiwe vilivyo kwani wanatengeneza sintofahamu kwa maslahi yao.
-Taasisi ya Urais isitishwe na isimame na umma!

covid 19 ilihimiliwa vilivyo sembuse vita vya ukraine?

Ni nani anayetaka kumuonesha Rais Samia hatoshi?
Jibu ni wale wale wahuni...lazima wadhibitiwe vilivyo!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hizo bei si zimewekwa na Serikali au???? Si zilitangazwa na serikali. Unazungumzia mfanyabiashara yupi anayepanga bei za mafuta hapa nchini.
 
Yaani ndo nimejua kuwa kodi ya mafuta Ni kubwa kuliko gharama za manunuzi na usafiri hadi dar
 
mimi nitahoji idadi ya fuel stations zilizoanza chini ya miezi sita iliyopita na namna gani zinalink na wafanyabiashara wakubwa wa mafuta.je kwa nini zilianzishwa ghafla na kwa nini tupo hapa leo?
Mkuu jingalao, japo mwenyewe unaniita jingalao, mtu anaweza kikudhania wewe ni lijitu fulani lijinga kutokana na jina lako, lakini kiukweli ni mmoja wa watu wenye akili Sana humu, hivyo badala ya wewe kuwa ni jingalao, mimi nakuita Akililao.

Hakuna mtu ajuaye kila kitu, hivyo mambo mengine ni kuelimishana.
Kutokana na vita vya Urusi na Ukraine, bei za mafuta zimepanda dunia mzima, kutokana na kitu kinachoitwa "price elasticity of demand", kutokana na Urusi ndie mzalishaji mkubwa wa pili wa mafuta Duniani baada ya Marekani, wa tatu ni Saudi Arabia. Kwa Russia, mafuta ni almost bure. Sasa mwenzetu unaweza kutuelimisha the linkages ya hivyo vituo vipya vya mafuta na kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania?
Mhe.Rais apelekewe facts na sio visingizio vya uongo uongo.
je kuna wafanyabiashara waliojipanga kutukomesha na kujineemesha??
Kivipi?
msimamo wangu
-kodi zibaki pale pale
Je wajua kwenye hiyo elfu 3,000 ya lita ya mafuta, gharama ya mafuta ni just 1,000, halafu hiyo 2,000 ni Kodi na tozo?
-wafanyabiashara wahuni wadhibitiwe vilivyo kwani wanatengeneza sintofahamu kwa maslahi yao.
Tuelimishe kuhusu hili, ni wafanyabiashara gani hao wahuni wakati tunanunua mafuta kwa bulk procurement?. Wahuni hao, watadhibitiwa vipi?, Wanatengeneza sintofahamu gani?, ili wapate maslahi gani na kivipi kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Bei ni regulated how can they benefits?.
-Taasisi ya Urais isitishwe na isimame na umma!
Taasisi ya urais inatishwa vipi?, inatishwa na nini?, inatishwa na nani?.
Covid 19 ilihimiliwa vilivyo sembuse vita vya ukraine?
Unalinganisha Covid 19 na vita vya Ukraine?
Ni nani anayetaka kumuonesha Rais Samia hatoshi?
Tutajie ni Nani?, jee anatosha?
Jibu ni wale wale wahuni...lazima wadhibitiwe vilivyo!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hao wahuni ni kina nani na wadhibitiweje, kwa pyu pyu, kwenye viroba au into thin air?.
P
 
Mkuu jingalao, japo mwenyewe unaniita jingalao, mtu anaweza kikudhania wewe ni lijitu fulani lijinga kutokana na jina lako, lakini kiukweli ni mmoja wa watu wenye akili Sana humu, hivyo badala ya wewe kuwa ni jingalao, mimi nakuita Akililao.

Hakuna mtu ajuaye kila kitu, hivyo mambo mengine ni kuelimishana.
Kutokana na vita vya Urusi na Ukraine, bei za mafuta zimepanda dunia mzima, kutokana na kitu kinachoitwa "price elasticity of demand", kutokana na Urusi ndie mzalishaji mkubwa wa pili wa mafuta Duniani baada ya Marekani, wa tatu ni Saudi Arabia. Kwa Russia, mafuta ni almost bure. Sasa mwenzetu unaweza kutuelimisha the linkages ya hivyo vituo vipya vya mafuta na kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania?

Kivipi?

Je wajua kwenye hiyo elfu 3,000 ya lita ya mafuta, gharama ya mafuta ni just 1,000, halafu hiyo 2,000 ni Kodi na tozo?

Tuelimishe kuhusu hili, ni wafanyabiashara gani hao wahuni wakati tunanunua mafuta kwa bulk procurement?. Wahuni hao, watadhibitiwa vipi?, Wanatengeneza sintofahamu gani?, ili wapate maslahi gani na kivipi kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Bei ni regulated how can they benefits?.

Taasisi ya urais inatishwa vipi?, inatishwa na nini?, inatishwa na nani?.

Unalinganisha Covid 19 na vita vya Ukraine?

Tutajie ni Nani?, jee anatosha?

Hao wahuni ni kina nani na wadhibitiweje, kwa pyu pyu, kwenye viroba au into thin air?.
P
Pascal Mayalla wewe ni mkongwe humu toka enzi za U-pasco vs pascal Mayalla unatambua vyema ni nani wafanyabiashara wa mafuta.
lakini naamini unatambua yanayojiri iwe in details au tetesi zinazopanda humu JF kupitia wachangiaji au members mbalimbali.
sio kazi ya Jingalao kukujuza in details kwani Jingalao kazi yake ni kualert the realities in the field and in offices.

When you search JF Database utapata mengi sana...na pia maswali yako yatajibika.
 
nikisema kodi zibaki pale pale namaanisha,kwank bila kodi hakuna Taifa imara na tutaishia kulijenga Taifa kwa hisani ya wakubwa zetu jambo ambalo sio afya.
 
covid 19 pandemic ilipelekea lockdowns za almost nchi zote zikiwemo zinazotupa mafuta kwa nini bei haikupanda hivi ilivyo?
Hakuna anayeweza kutuelezea kitaalamu an acute rise of fuel price kwa vita hii halafu akalinganisha na gradual rise ya fuel price kutokana na vita.
 
Awamu hii ni ya nne. Tumerudi nyuma.

JK ni mfanyabiashara ya mafuta na Riz1
 
Rais Samia anatosha(huyu alikuwa ni best among many to deserve and being no 2.Ila inabidi kuwakemea wanaotaka kumuonesha hatoshi kwa kumtishia kuwa yule aliyekuwa na miraba minne aliwashindwa!ni kina nani hao ...jibu ni kuwa wewe kama GT unao uwezo wa kuwatambua.
mark my words.
 
kuhusu kudhibiti wahuni....ha ha ha
Hivi unamuachaje muhuni atambe?muhuni anadhibitiwa kwa njia zote necessary hadi asiwe muhuni,Mbinguni na paradiso hakuna muhuni atajayeingia ili kuendeleza uhuni.
Kwa msimamo wangu lazima nimtenganishe muhuni na muungwana kwa namba yoyote ile...yaani laini au ngumu.muhuni hana nafasi mbele ya muungwana hata Mungu anatujuza hivyo.
 
Mkuu jingalao, japo mwenyewe unaniita jingalao, mtu anaweza kikudhania wewe ni lijitu fulani lijinga kutokana na jina lako, lakini kiukweli ni mmoja wa watu wenye akili Sana humu, hivyo badala ya wewe kuwa ni jingalao, mimi nakuita Akililao.

Hakuna mtu ajuaye kila kitu, hivyo mambo mengine ni kuelimishana.
Kutokana na vita vya Urusi na Ukraine, bei za mafuta zimepanda dunia mzima, kutokana na kitu kinachoitwa "price elasticity of demand", kutokana na Urusi ndie mzalishaji mkubwa wa pili wa mafuta Duniani baada ya Marekani, wa tatu ni Saudi Arabia. Kwa Russia, mafuta ni almost bure. Sasa mwenzetu unaweza kutuelimisha the linkages ya hivyo vituo vipya vya mafuta na kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania?

Kivipi?

Je wajua kwenye hiyo elfu 3,000 ya lita ya mafuta, gharama ya mafuta ni just 1,000, halafu hiyo 2,000 ni Kodi na tozo?

Tuelimishe kuhusu hili, ni wafanyabiashara gani hao wahuni wakati tunanunua mafuta kwa bulk procurement?. Wahuni hao, watadhibitiwa vipi?, Wanatengeneza sintofahamu gani?, ili wapate maslahi gani na kivipi kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Bei ni regulated how can they benefits?.

Taasisi ya urais inatishwa vipi?, inatishwa na nini?, inatishwa na nani?.

Unalinganisha Covid 19 na vita vya Ukraine?

Tutajie ni Nani?, jee anatosha?

Hao wahuni ni kina nani na wadhibitiweje, kwa pyu pyu, kwenye viroba au into thin air?.
P
Labda wamiliki wa hivyo vituo walioteshwa ndoto ya kutokea kwa vita ya Russia vs Ukraine, Jingalao anaweza kutoa ufafanuzi mzuri
 
Mafuta Urusi yanauzwa kwa bei ya promotion, tuachane na mafuta ya Uarabuni twende Moscow.
 
Back
Top Bottom