Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
jaribu na PIROXICAM.
ingawaje dawa kubwa ni kuzaa tuuu akishazaa maumivu hupungua au huisha kabisa na kuendelaea kawaida
Habari zenu the great thinkers,
Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa period,hua anatumia buskopan na panadol lakin wapi.
Tafadhali nahitaji msaada wenu ndugu zangu!
Mke Wangu amepata mstuko alikuwa na mimba Sasa ameanza period kama kuna doctor humu tuwasiliane
Mke Wangu amepata mstuko alikuwa na mimba Sasa ameanza period kama kuna doctor humu tuwasiliane
Habari zenu the great thinkers,
Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa period,hua anatumia buskopan na panadol lakin wapi.
Tafadhali nahitaji msaada wenu ndugu zangu!