Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu the great thinkers,
Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa period,hua anatumia buskopan na panadol lakin wapi.
Tafadhali nahitaji msaada wenu ndugu zangu!
Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa period,hua anatumia buskopan na panadol lakin wapi.
Tafadhali nahitaji msaada wenu ndugu zangu!