Sekta binafsi ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi. Pale st John university kikuyu wana eneo kubwa sana ambalo limekaa kikmkakati. Ukitoka kwenye jengo lao jipya la utawala, wana eneo kubwa ambalo linaenda mpaka kikuyu centre.
Kama walivyofanya ndugu zao pale kanisani mjini kuwekeza kwenye jengo liitwalo safina, kwa st John eneo lao ni zuri sana kwa kuwekeza mall. Eneo liko mjini na kubwa. Wakishirikiana na muwekezaji, watafanya kitu cha maana na kuepuka majengo mengi ya huduma za namna hiyo kukaa barabara ya Dar es salaam.
Sabato njema.
Ndimi dadeq
Kama walivyofanya ndugu zao pale kanisani mjini kuwekeza kwenye jengo liitwalo safina, kwa st John eneo lao ni zuri sana kwa kuwekeza mall. Eneo liko mjini na kubwa. Wakishirikiana na muwekezaji, watafanya kitu cha maana na kuepuka majengo mengi ya huduma za namna hiyo kukaa barabara ya Dar es salaam.
Sabato njema.
Ndimi dadeq