Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama upuuzi huu ungesemwa na Makonda au Polepole hakuna ambaye angeshangaa , lakini huyu Karia mtu aliyepata urais wa TFF kwa mgongo wa Malinzi tangu lini akawa msemaji wa ccm ?hata akiomba msamaha, moyo wake ulijazwa na umejazwa na alichosema
kama chadema ina amini katika demokrasia ya mtu kusema CHOCHOTE kwa nini HIKI WAMEPANICK??