pundadumeafrika
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,619
- 2,074
kauli za kibaguzi zinazidi kuwafanya watanzania kukosa uzalendo dhidi ya CHAMA CHA MAPINDUZI na miradi yake inayowaweka walafi hawa wa madaraka mjini.
.
Lakini tuacheni utani jamani BAO KUMI BILA MECHI MBILI, huyu atakuwa mnyama kweli ? yule aliyetambulishwa majuzi kama wakimataifa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
.
Lakini tuacheni utani jamani BAO KUMI BILA MECHI MBILI, huyu atakuwa mnyama kweli ? yule aliyetambulishwa majuzi kama wakimataifa ?
Sent using Jamii Forums mobile app