Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mkuu 'Beja', hapana, usiende huko, na wala unayosema siyo kweli.Huwezi kusikia wananchi wa Zanzibar wamedhulumiwa wala Pwani na Tanga
Serikali inyoongoza kufanya dhuluma za bayana kwa wananchi ndio hii hata wamasai walioondolewa na kupelekwa Msomera ina maana walihongwa pesa au vitu vye kishawishi ch a kuondoka sio hiari kama inavyotabgazwaKuna mambo yanachukiza sana, unawadhulumu watu haki zao Kwa matamko ya ajabu ajabu. Tuendelee na Maombi. Wengine sio waandishi wazuri, soma hapa, kama kusoma huwezi angalia hata picha.
View: https://x.com/Nipashetz/status/1705118421573124143?t=PH1lYCqRBljDPzKADk7X5Q&s=08View attachment 2758419
Leo kapiga njeMama anaupiga mwingi.
Mwanzoni tuliambiwa wahanga ni sukuma gang...Mama anaupiga mwingi.