Kimsingi hapo ndiyo shida ilipo na ndipo pa kuanzià...Shida sio kuwa luteni kwa miaka 24. Kuna vijana wengi tu kwa sasa wana nyota mbili. Ninachojiuliza huyo Emmanuel alitoa wapi zile sare, badge pamoja na baadhi ya nyaraka za kambi aliyodai anatokea
Oooh kumbe? Kweli rahisi watu kufanya ufedhuli huu.Mfano mtu anataka combat zake zimeisha anataka mpya anaweza kwenda mgulani wanapo uza akamkuta muuzaji akajitambulia labda MT 13……. Muuzaji anajua huyu ni askar akataja na kikos akamuamini baada ya hapo aka akampa nguo au akamuonyesha kitambulisho tu akampa hapo umenielewa
In case akamaliza advance akiwa 17yrs old bado mathematically is invalid or validKaka vijana sawa wapo ila umri unakataa ata kama umeingia chomboni ukiwa na elimu ya darasa la saba bado inagoma ata wale formsix wanaoenda kule kumbuka kuna miaka 3 ya kusoma military science bado umri unagoma lazima ukatae kwa miaka 24 pia kuna mwaka mmoja wa pale TMA bado
Kuhus nguo nahisi ni kutokana na kitambulisho uenda alienda kununua izo sare mgulani akaonyesha kitambulisho wakampa au alijitambulisha kwa njia ya simu kuwa p..,,,,,, wakamtambua kuwa ni afisa kumbe sio
Ndio inavyokuwaOooh kumbe? Kweli rahisi watu kufanya ufedhuli huu.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nasema source ipo kwenye vitambulisho na namba za kijeshiDah kitambulisho kimekaa kama kitambulisho cha shule nliposoma O- level.Shida inaweza isiwe kudhibiti ufyatuaji wa vitambulisho maana hata hiyo tech. tunaweza pata lakini wahuni wakafyatua tu vitambulisho.
Jeshi limejengwa na nguzo ya nidhamu.Kama ukiona hadi janja anapata ujasiri wa kuja na wazo la kujipa cheo cha luteni(cheo ambacho watu wanakimbia ile kozi ya kwanza ya luteni usu(kama sijakosea)) ujue nidhamu jeshini inapotea sasa.
Kwamba JW hawana mfumo wa kutambua maafisa wao wanaograduate mpaka dogo anatumia njia za panya kufanikisha kupata kila kitu cha jeshi?
Wabadilishe waanze na vitambulishoAisee sasa Jeshi linakubali kwanini vijana wakatengeneze? Naona hapo ndio kuna tatizo kubwa
Ila ndio Africa, kutokutilia vitu maanani ndio hulka ya viongozi wengi
Yaani mradi liende tu
Hao wanaochimba wachina lazima watakuwa na kibali na kuna jambo TISS anaweza lifumbua then serikali wasichukue hatua ilaumu uongozi wako wa serukali mlio ichaguaHalafu hujui hata unachokizungumzia hapa.
Kwa mujibu wa TPDF kijana mwenye elimu ya kidato cha sita anakuwa na sifa ya kupewa mafunzo ya uafisa. Halafu sasa hivi kuna vijana wengi tu wanamaliza form six na miaka 18. Kwahiyo akijiunga na jeshi na kupewa kozi ya miaka 3 ya military science au ile kozi ya mwaka mmoja tayari anakuwa lieutenant.
Hao usalama mnawatukuza bure tu.
Bure kabisa.
Mikataba mingapi serikali imeingia hasara ya mabilioni huku hao usalama wapo tu wanapigwa na viyoyozi.
Kuna jambo la muhimu kuliko uchumi wa nchi?
Uchumi wa nchi ukitetereka na nchi inatetereka, hakuna bunduki au askari anayeweza kumdhibiti mtu ambaye kula yake ya shiida . Sema tu Watanzania wajinga fulani.
TISS nitawakubali mpaka nione wameweza kuzuia ulaghai kwenye rasilimali za nchi.
Sasa hivi mkoa mmoja tu ukienda unakuta migodi zaidi ya 20 wachina wanachimba madini.
Imputs za maana hakuna
Umri pia unazingatiwaHalafu hujui hata unachokizungumzia hapa.
Kwa mujibu wa TPDF kijana mwenye elimu ya kidato cha sita anakuwa na sifa ya kupewa mafunzo ya uafisa. Halafu sasa hivi kuna vijana wengi tu wanamaliza form six na miaka 18. Kwahiyo akijiunga na jeshi na kupewa kozi ya miaka 3 ya military science au ile kozi ya mwaka mmoja tayari anakuwa lieutenant.
Hao usalama mnawatukuza bure tu.
Bure kabisa.
Mikataba mingapi serikali imeingia hasara ya mabilioni huku hao usalama wapo tu wanapigwa na viyoyozi.
Kuna jambo la muhimu kuliko uchumi wa nchi?
Uchumi wa nchi ukitetereka na nchi inatetereka, hakuna bunduki au askari anayeweza kumdhibiti mtu ambaye kula yake ya shiida . Sema tu Watanzania wajinga fulani.
TISS nitawakubali mpaka nione wameweza kuzuia ulaghai kwenye rasilimali za nchi.
Sasa hivi mkoa mmoja tu ukienda unakuta migodi zaidi ya 20 wachina wanachimba madini.
Imputs za maana hakuna
Umri pia unazingatiwa mkuuIn case akamaliza advance akiwa 17yrs old bado mathematically is invalid or valid
Mimi naona bora wangetengeneza vitambulisho viwili kimoja cha askar kinachomtambulisha ni askari kingine ni cha briged kidogo hapo kungekuwa na ugumuKanyaga twende.🤣🤣
Kaka unabishana na raia ,embu toa recipe za kupika uji wa mchele ,nijifunze nipike leo nisiende kunywa ulanziUmri pia unazingatiwa mkuu
Naelewa ila mimi nilichokuwa natamani ni kwamba Jwtz ingekuwa ya kwanza kujua ilo kwa taarifa ambazo nilizo sikia za uyo kijanaPolisi ndo jukumu lao kukamata wahalifu wanaofanya kosa la jinai, hata kama wangemkamata Jwtz inatakiwa wampeleke polisi ili taratibu za kumfikisha mahakamani ziendelee, hao usalama unaosema wanamkamata mtu kimya kimya wanavunja sheria hawaruhusiwi kufanya ukamataji kama kweli wanafanya hivyo basi huo ni utekaji.
Maana hata hivyo kosa la kuvaa nguo la jeshi yoyote iwe jwtz, polisi au magereza bila ruhusa ya Rais adhabu yake ni faini elfu 50 au kifungo mwezi mmoja.
Ahahah sawa ngojeaKaka unabishana na raia ,embu toa recipe za kupika uji wa mchele ,nijifunze nipike leo nisiende kunywa ulanzi
Hivi kwa sisi wenye miaka 30+ tuna ruhusiwa kujiunga regular course?Kuna kigezo cha umri sio imradi tu umemaliza six
📌📌📌Hili ndo swali la msingi,sekondari mpaka chuo kikuu!!!Shida sio kuwa luteni kwa miaka 24. Kuna vijana wengi tu kwa sasa wana nyota mbili. Ninachojiuliza huyo Emmanuel alitoa wapi zile sare, badge pamoja na baadhi ya nyaraka za kambi aliyodai anatokea
Mchele uloweke kama dakika kumi na tano kama utataka kubrand uta fanya ivyo baada ya mchele kuloweka theni kama utataka kutumia nazi basi utachuja nazi yako utaweka jikoni kama una iriki utaweka pamoja na mdalasini kidogo kisha utaacha uive uku unakoraga pole pole pia kama utakosa utataka kutumia maji pia utafanya ivyoHapa hapa Kaka ,Mimi PM yangu nashindwa kusoma meseji