Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Polisi ndo jukumu lao kukamata wahalifu wanaofanya kosa la jinai, hata kama wangemkamata Jwtz inatakiwa wampeleke polisi ili taratibu za kumfikisha mahakamani ziendelee, hao usalama unaosema wanamkamata mtu kimya kimya wanavunja sheria hawaruhusiwi kufanya ukamataji kama kweli wanafanya hivyo basi huo ni utekaji.
Maana hata hivyo kosa la kuvaa nguo la jeshi yoyote iwe jwtz, polisi au magereza bila ruhusa ya Rais adhabu yake ni faini elfu 50 au kifungo mwezi mmoja.
Maana hata hivyo kosa la kuvaa nguo la jeshi yoyote iwe jwtz, polisi au magereza bila ruhusa ya Rais adhabu yake ni faini elfu 50 au kifungo mwezi mmoja.