Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Tena kama usalama wapo serious walitakiwa ku deal na mwigulu zamani, sema nini unakuta mwigulu nae ana watoto wake au ndugu zake usalama sasa hapooooo.......basi ngoja niachie hapa
 
Tena kama usalama wapo serious walitakiwa ku deal na mwigulu zamani, sema nini unakuta mwigulu nae ana watoto wake au ndugu zake usalama sasa hapooooo.......basi ngoja niachie hapa
Shida hawa watu wanadanganywa na wanasiasa usalam ulete fyoko fyoko wanachukuliwa poa tu nishawai kukutana nao kwenye msiba wa mkubwa mmoja siku ya maziko alfajir walitimua watu wote hakuna cha polisi wala nan kauli yao ni moja tupisheni tufanye kazi yetu sasa na wote walikaa pembeni
 
200
 
Ilikuwa rahisi sana kukamata huyo kijana.
 
Mkuu Watu kama wanakua wamekulia kwenye mifumo ya jeshi au walifukuzwa jeshi, kuna jirani yetu aliingia jeshi kabla kuingia jeshi alikua tapeli sasa baada kufukuzwa kazi ikabidi aendelee na kazi yake ya utapeli alikua anapita mpaka Lugalo na anajitambulusha yeye ni kapteni na anapita tu, kwa huyo kijana atakua kashapitia kwenye jeshi kwahiyo anajua mambo yao, siyo rahisi kija wa mtaani tu aanze kuvaa nguo za JWTZ. Ni sawa na mimi sijui mambo ya U Daktar na sijawahi kufanya kazi hospotali leo hii niende hospital nikajifanye Daktar hii itakua ngumu
 
Kumbe Mwachi Na Wewe Ni Arooo? Ushawahi Kukiona Kitambulisho Cha Usalama Sio?Kilimdondoka Afisa Usalama Ukamuokotea Ukampa Braza Usalama Au Vp? Basi Sawa!
 
Ndio maana nasema mifumo mibovu haitoshi mtu kusema tu mm ni captain kitambulisho kiko wapi?
 
Kumbe Mwachi Na Wewe Ni Arooo? Ushawahi Kukiona Kitambulisho Cha Usalama Sio?Kilimdondoka Afisa Usalama Ukamuokotea Ukampa Braza Usalama Au Vp? Basi Sawa!
Hapana ni raia mwema af hivyo vitambulisho kuviona ni kawaida tu inategemeana na marafiki zako au watu wako wanaokuzunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…