othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Tena kama usalama wapo serious walitakiwa ku deal na mwigulu zamani, sema nini unakuta mwigulu nae ana watoto wake au ndugu zake usalama sasa hapooooo.......basi ngoja niachie hapaHalafu hujui hata unachokizungumzia hapa.
Kwa mujibu wa TPDF kijana mwenye elimu ya kidato cha sita anakuwa na sifa ya kupewa mafunzo ya uafisa. Halafu sasa hivi kuna vijana wengi tu wanamaliza form six na miaka 18. Kwahiyo akijiunga na jeshi na kupewa kozi ya miaka 3 ya military science au ile kozi ya mwaka mmoja tayari anakuwa lieutenant.
Hao usalama mnawatukuza bure tu.
Bure kabisa.
Mikataba mingapi serikali imeingia hasara ya mabilioni huku hao usalama wapo tu wanapigwa na viyoyozi.
Kuna jambo la muhimu kuliko uchumi wa nchi?
Uchumi wa nchi ukitetereka na nchi inatetereka, hakuna bunduki au askari anayeweza kumdhibiti mtu ambaye kula yake ya shiida . Sema tu Watanzania wajinga fulani.
TISS nitawakubali mpaka nione wameweza kuzuia ulaghai kwenye rasilimali za nchi.
Sasa hivi mkoa mmoja tu ukienda unakuta migodi zaidi ya 20 wachina wanachimba madini.
Imputs za maana hakuna