Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Sikua najua mugulani ni a one stop shop ya wanajeshi.. jf kuna ya kujifunza.
#######
Marekani sasa hivi wanaojifanya ni Polisi wa Uhamiaji ICE imeongezeka maradufu. Wapo wabongo huko wanahenyeshwa wakikutana na matapeli kama huyu wa kwetu. Wanavaa uniform, wanavitambulisho na hata magari😭😭 Sasa cjui kama wana duka kama la mgulanišŸ¤·ā€ā™‚ļø
######
Labda jamaa alijifunza huko?
Bongo wapo watu wanajifanya kitengo, takukuru tra nk pia

Ova
 
Ndio maana nasema mifumo mibovu haitoshi mtu kusema tu mm ni captain kitambulisho kiko wapi?
Kwanza polisi atakijulia wapi kitambulisho cha Jeshi? Hata akipewa akione hawezi kujua kama ni chenyewe. Huyo aliyekutwa na uniform ya jeshi hawezi kuvaa uniform ya jeshi na kusogea maeneo ya karibu yenye wanajeshi.
 
Juzi hapa kakamatwa kijana aliejifanya kuwa ni officer wa jeshi la JWTZ umri maika 24 kuna vitu JWTZ wanatakiwa kubadilisha cha kwanza vitamburisho

Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa

Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta

Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama

Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh

Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana
Wanajeshi wenyewe ndio hawa wanywa visungura na na kuvuta makushabu, sasa hapo unategemea weledi wowote kweli?
 
Shida sio kuwa luteni kwa miaka 24. Kuna vijana wengi tu kwa sasa wana nyota mbili. Ninachojiuliza huyo Emmanuel alitoa wapi zile sare, badge pamoja na baadhi ya nyaraka za kambi aliyodai anatokea
Simply anawashkaji wengi wanajeshi.
 
Dogo either alipitia jkt au ni askari kweli wa kawaida au alishafukuzwa, mtu tu wa kawaida si rahis kuwa na access
 
Mkuu Watu kama wanakua wamekulia kwenye mifumo ya jeshi au walifukuzwa jeshi, kuna jirani yetu aliingia jeshi kabla kuingia jeshi alikua tapeli sasa baada kufukuzwa kazi ikabidi aendelee na kazi yake ya utapeli alikua anapita mpaka Lugalo na anajitambulusha yeye ni kapteni na anapita tu, kwa huyo kijana atakua kashapitia kwenye jeshi kwahiyo anajua mambo yao, siyo rahisi kija wa mtaani tu aanze kuvaa nguo za JWTZ. Ni sawa na mimi sijui mambo ya U Daktar na sijawahi kufanya kazi hospotali leo hii niende hospital nikajifanye Daktar hii itakua ngumu
Nakubaliana na wewe.
 
Naomba nikuulize maswali mawili mkuu
1.Ukiwa na mtu kama kanali na una age ya 26 elimu form 6 science, vip anaweza kukuingiza kihangaiko kweny kozi ya ajira??
2.Na ukiwa na age iyoiyo na elimu iyoiyo apo juu vipi mtu kama kanali anaweza kukuingiza kweny kibangala cha wale wa Bms?? Mwachiluwi
Sikuizi mwisho 28 šŸ˜‚
 
Juzi hapa kakamatwa kijana aliejifanya kuwa ni officer wa jeshi la JWTZ umri maika 24 kuna vitu JWTZ wanatakiwa kubadilisha cha kwanza vitamburisho

Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa

Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta

Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama

Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh

Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana
KUboresha mifumo na taratibu sahihi
 
Juzi hapa kakamatwa kijana aliejifanya kuwa ni officer wa jeshi la JWTZ umri maika 24 kuna vitu JWTZ wanatakiwa kubadilisha cha kwanza vitamburisho

Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa

Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta

Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama

Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh

Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana
Kuigiza uanajeshi mpaka mtu awe amepitia mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira ama kufukuzwa ndiyo unaweza.

Kumtambua mtu kuwa huyu siyo askari hakuhitaji kitambulisho.

Kuna vipengele vidogo vidogo vingi sana ambavyo hutumika kumtambua askari halisi na feki.

Kwanza kabisa kumtambua ni kutokana na desturi ama tamaduni za kijeshi pamoja na alama za vyeo: ukiona mkubwa wa cheo anaanza kumsalimia mdogo wa cheo, tayari mtego unaanza kutikisika huo.

Huyo wa Bariadi alitaka kupatia umri na cheo, maana kuna umri wa vyeo hivyo.
Miaka 24 alitakiwa awe Private ama officer 2lt.

Ukiona mbabu kavaa gwanda, ana cheo cha Pte, Cpl, 2Lt, Lt, Capt, simama umhoji kikosi anakotokea kabla mtego haujafyatuka kunasa.

'Jambo afande' ama kiitikio 'afande' hutumika kwa mdogo pekee kumsalimia ama kumuitikia superial wake, kinyume na hapo wacha mtego unase kabisa.

Tukija kwenye mavazi ya fatique(mnaita kombati), mavazi hayo yana matoleo ya kila wakati na mashono yanatofautiana.

Mtu kama alihifadhi gwanda la mwaka 2000, akilivaa leo, lazima aangaliwe kwa jicho la kwanini na wivu mkubwa, akamatwe na ahojiwe.

Ukiona askari kavaa kijeshi, halafu katamani ndizi, akanunua na kuanza kula huku akitembea, muite na umuulize kikosi cha karibu kinaitwaje, akikujibu, muulize Kombania gani uone atavyoanza kujikanyaga?

Ninasema kwamba askari ama officer halisi wa jeshi haghushiki na wala hahitaji kutambuliwa kwa kitambulisho, anatambuliwa kwa kumtazama tu.
 
Naomba nikuulize maswali mawili mkuu
1.Ukiwa na mtu kama kanali na una age ya 26 elimu form 6 science, vip anaweza kukuingiza kihangaiko kweny kozi ya ajira??
2.Na ukiwa na age iyoiyo na elimu iyoiyo apo juu vipi mtu kama kanali anaweza kukuingiza kweny kibangala cha wale wa Bms?? Mwachiluwi
Ndio ila lazima umri upunguzwe hapoa
 
Ili kuendana na umri tajwa au wanaoutaka kwa wakati uho
Duuh kwahyo kipengele cha umri kinaweza kukutoa mchezoni hata kama upo na MTU mkubwa mfano kanali? maana kuanzia kanali hua wanapewa nafas za kupeleka watoto wao
 
Duuh kwahyo kipengele cha umri kinaweza kukutoa mchezoni hata kama upo na MTU mkubwa mfano kanali? maana kuanzia kanali hua wanapewa nafas za kupeleka watoto wao
Kaka mimi sijui
1740651149035.png
 
Back
Top Bottom