Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni washenzi mno😂😂😂 hata Simba hi hivyo hivyo
😄 🤣 😂 😆mi nashangaa mbona tunatoa sare na kagera kumbe jamaa mmoja kang'ang'ania majini yetu! Ayalete tuwagawie akina MZIZE yatakayobaki tutajaribu kwa GUEDE kama yanapanda au yatagoma kama KONKON
Watapoteza wachezaji wote Kwa ajali ni suala la muda tuu!!?.kafara Halina utaniMajini Fc....
Kumbeee basi sawa
Yanga itapotea kwenye soka ni a matter of time!! Ngoma ilikilia Sana jua inapasukaYanga haiwezi kumrudisha ? Sema mdomo utamponza
jidanganye ila yanga kwa uwekezaji wake kupotea ni ngum labda GSM aachie timu.Yanga itapotea kwenye soka ni a matter of time!! Ngoma ilikilia Sana jua inapasuka