Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Unakimbuka shule ya Shauritanga ilipoungua na kuua wasichana 50 +, Waziri Mkuu Malecela aliwaita Scotland Yard. Kwa sababu ya ukubwa wa tatizo.
Juba tofauti gani na sasa ambapo Waziri Biteko anashutumiwa katika kifo cha msaidizi wake?
Lazima Scotland Yard waletwe. Wakati ule aliketwa Collin Roy kutoka Scotland Yard. Oh,we still remember!
Vinginevyo, you will alienate the Civil Service. You will alienate the whole Civil Service. You will aluenate the Civil Service and enstrange it from the Lady President.
What will happen if you alienate the Civil Service? Nothing. Except that it will be a black mark against the President.
Na mimi nilicomment dhidi ya Dotto Biteko.(hapa JF)
Nikaambiwa,"We ni mshamba. Umesahau jinsi tulivyomfanya rafiki yako Yesu. Tulimsulubu.
Now that is no way to talk about the Good Lord Jesus.
Sasa nasema,"Don't shoot the messenger. Just bring in Scotland Yard."
Juba tofauti gani na sasa ambapo Waziri Biteko anashutumiwa katika kifo cha msaidizi wake?
Lazima Scotland Yard waletwe. Wakati ule aliketwa Collin Roy kutoka Scotland Yard. Oh,we still remember!
Vinginevyo, you will alienate the Civil Service. You will alienate the whole Civil Service. You will aluenate the Civil Service and enstrange it from the Lady President.
What will happen if you alienate the Civil Service? Nothing. Except that it will be a black mark against the President.
Na mimi nilicomment dhidi ya Dotto Biteko.(hapa JF)
Nikaambiwa,"We ni mshamba. Umesahau jinsi tulivyomfanya rafiki yako Yesu. Tulimsulubu.
Now that is no way to talk about the Good Lord Jesus.
Sasa nasema,"Don't shoot the messenger. Just bring in Scotland Yard."