Kuhusu matatizo ya Dotto Biteko tunahitaji Metropolitan Police

Kuhusu matatizo ya Dotto Biteko tunahitaji Metropolitan Police

Yawezekana hii habari unaijua wewe tu hapa jamvini.

Usipoleta infos za kutosha itaonekana umbeya tu.
 
"Waziri Biteko anashutumiwa katika kifo cha msaidizi wake", je ni nini kimetokea? Hebu ongeza nyama kidogo maana hii habari kwa wengi ni hapia.
Ile habari ya Biteko kubishana na msaidizi wake,nadhani ilitokea wamato mimi sipo JF. Upo wakati pale nilikuwa suspended for a year ,or a few years,I don't remember. Suspended,not by JF,ila hackers walikuwa wanaleta fujo.
Kwa hiyo nimeandika hii comment kuhusu Scotland Yard,ambayo actually sikujua kwamba posting was successful,kwa sababu simu yangu ilikuwa inanihangaisha.
Kwa hiyo for two days I was offline,kumbe sijui I am on air.
It is none of my business,lakini nadhani there is too much blah blah mpaka watu wanashindwa kuelewa kwamba makosa mengine hayatakiwi kutendwa.
Kwa mfano hapa unaona polisi wanakimbizana na watu wanataka: kuiangusha serikali. Je,sio jambo serious kutaka kuiangusha serikali?
Au yule Mwendazake,it was claimed somebody poisoned him. Foolish words,yeah,but has ayone bothered to investigate? Why was it somebody whose task it was to decorate the coffin died within seven days of the burial of Mwendazake?
 
Ile habari ya Biteko kubishana na msaidizi wake,nadhani ilitokea wamato mimi sipo JF. Upo wakati pale nilikuwa suspended for a year ,or a few years,I don't remember. Suspended,not by JF,ila hackers walikuwa wanaleta fujo.
Kwa hiyo nimeandika hii comment kuhusu Scotland Yard,ambayo actually sikujua kwamba posting was successful,kwa sababu simu yangu ilikuwa inanihangaisha.
Kwa hiyo for two days I was offline,kumbe sijui I am on air.
It is none of my business,lakini nadhani there is too much blah blah mpaka watu wanashindwa kuelewa kwamba makosa mengine hayatakiwi kutendwa.
Kwa mfano hapa unaona polisi wanakimbizana na watu wanataka: kuiangusha serikali. Je,sio jambo serious kutaka kuiangusha serikali?
Au yule Mwendazake,it was claimed somebody poisoned him. Foolish words,yeah,but has ayone bothered to investigate? Why was it somebody whose task it was to decorate the coffin died within seven days of the burial of Mwendazake?
We ni chawa umetumwa kupima upepo
 
Back
Top Bottom