sijajua hasa mkataba wako wa kazi unasemaje kuhusu matibabu. Je kampuni linawalipia bima ya afya? kwa ulivyoeleza naona mwajiri wako anajitolea tu kama msaada (kuwatibia) hata hivyo kama unaona unaonewa una haki ya kumshtaki mwajiri wako, unatakiwa kuanzia baraza la usuluhishi (CMA)
Kama ameainisha (amewka wazi) na wew uliusoma na kuukubali sidhani kama unachance ya kumuhukumu vnginevyo hata hyo kaz utaikosa.
Bima ya afya ni lazima kama ilivyo kwa mifuko mingine ya hifadhi ya jamii (bila shaka tayari umeunganishwa na mfuko mmoja wapo). Kumbuka NHIF haichangiwi na Mwajiri bali Mwajiriwa, otherwise kama tayari Mwajiri wenu aliwaunganisha katika bima nyingine yenye sera mbovu kiasi hicho
Sawa,lakini swali langu linakuja Je sheria ya nchi inasemaje kuhusu bima ya afya kwa wafanyakazi?kuna kifungu chochote kitakachombana huyu mwajiri wangu?
Sawa,lakini swali langu linakuja Je sheria ya nchi inasemaje kuhusu bima ya afya kwa wafanyakazi?kuna kifungu chochote kitakachombana huyu mwajiri wangu?