mischa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 368
- 177
Nimeajiriwa kwenye shirika la kigeni au binafsi(sio serikalini),
Mkataba nnao wa mwaka renewable kila mwaka,lakini kwenye matibabu mwajiri hunitibu kupitia hospitali moja tu,
Yaani shirika limeteua hospitali mmoja ambayo wafanyakazi hutibiwa pale tu tena OPD ukilazwa garama ni zako(hawalipi IN-Patient),
Na matibabu ni mm tu hawaangalii familia yangu,maana nikiugua mkoani nitumie garama yangu.
Je,Sheria ya kazi inasemaje kuhusu hili??
Ni wapi serikalini twaweza shitaki hili suala??
Mkataba nnao wa mwaka renewable kila mwaka,lakini kwenye matibabu mwajiri hunitibu kupitia hospitali moja tu,
Yaani shirika limeteua hospitali mmoja ambayo wafanyakazi hutibiwa pale tu tena OPD ukilazwa garama ni zako(hawalipi IN-Patient),
Na matibabu ni mm tu hawaangalii familia yangu,maana nikiugua mkoani nitumie garama yangu.
Je,Sheria ya kazi inasemaje kuhusu hili??
Ni wapi serikalini twaweza shitaki hili suala??