Kuhusu mchezaji kuibiwa Airport, Eng. Hersi aongea kwa uchungu

Kuhusu mchezaji kuibiwa Airport, Eng. Hersi aongea kwa uchungu

Hivi platinum member beji mtu anapewa kwakutoa pesa au kuwa na utofauti na uelewa mpana? Maana huyu jamaa huwa namfananisha na Juma Lokole, Sasa hapo Kuna mahali Hersi Amelia? Au umechukua kipande ambacho anawahoji waandishi wahabari?
 
Hivi platinum member beji mtu anapewa kwakutoa pesa au kuwa na utofauti na uelewa mpana? Maana huyu jamaa huwa namfananisha na Juma Lokole, Sasa hapo Kuna mahali Hersi Amelia? Au umechukua kipande ambacho anawahoji waandishi wahabari?
Kwahiyo ukifikiri utaona machozi. Hujui kilio cha mtu mzima.
 
Hiyo hata Yanga wamewahi kufanya umafia kwa Mbuyi Twite alikuwa anaenda Simba, Chelsea wamewahi kufanya kwa John Mikel wakati anaenda Manchester United.
Issue ni hela suala la credibility linaonwa na familia yake.
Unapolisha familia basi hiyo ndio credibility tosha.
 
Hii hata Simba wangeweza kunyang'anywa maana ni suala la maslahi na ushawishi na ndoto za mchezaji. Mtu kulalamikia Credibility labda kwa mkewe ndo tutadhani huenda ameoa mhuni.

Mfano, Akiitwa akawe CEO timu kubwa south Africa hataiacha Yanga ghafla? Mr credibility.
 
Hiyo hata Yanga wamewahi kufanya umafia kwa Mbuyi Twite alikuwa anaenda Simba, Chelsea wamewahi kufanya kwa John Mikel wakati anaenda Manchester United.
Issue ni hela suala la credibility linaonwa na familia yake.
Unapolisha familia basi hiyo ndio credibility tosha.
Kabisa mkuu
 
Halafu kumbe Simba walipeleka wachezaji wao kwenye mabonanza yao kuwapumbaza, akacheza nao akajiona dunia yake kumbe wahuni wameweka kambi terminal 3. Hii hatari sana.
 
Haya Juma Lokole wa jf tumekusikia, kameze sasa tembe zako za kuzuia uchizi.
 
Mfano, Akiitwa akawe CEO timu kubwa south Africa hataiacha Yanga ghafla? Mr credibility.

Akiitwa akawe CEO Kaizer, kufika pale Johannesburg, Oliver (Reginald Kaizana )Tambo International Airport adakwe na viongozi wa Orlando, credibility itakua haipo.
Issue sio kuiacha ghafla ni kuchepuka ndicho alichomaanisha.
Demu umuite kufika getto akutane na rafiki yako halafu ampe mzigo yeye, wakati wewe umetoka kidogo kutafuta ndomu.
 
Akiitwa akawe CEO Kaizer, kufika pale Johannesburg, Oliver (Reginald Kaizana )Tambo International Airport adakwe na viongozi wa Orlando, credibility itakua haipo.
Kuiacha Yanga ukiwa na mkataba nao na kwenda Kaizer ghafla ni kukosa credibility na si kuiacha Keizer bila mkataba official na kwenda Orlando ghafla. Kama hajasaini mkataba ni sawa kuopt dili poa zaidi.
Issue sio kuondoka ghafla ni kuchepuka ndicho alichomaanisha.
YAANI WEWE makwega7 unauza gari lako kwa Juma, Juma anakutumia pesa ya mafuta ulipeleke anunue njiani unakutana na Tsh nikupe ofa mara mbili halafu useme hapana wewe una credibility huchepuki? Huko ni kuingiza mihemko kwenye biashara. Option zinafungwa baada ya kusign papers not before
Demu umuite kufika getto akutane na rafiki yako halafu ampe mzigo yeye, wakati wewe umetoka kidogo kutafuta ndomu.

Demu kama ulimuahidi pesa au maisha poa au raha na rafiki yako akapanda dau ni sawa tu. Tutashangaa kama mkeo akifanya hivyo ila demu hana official contract na wewe. Hata alipokuja kwako huenda kuna aliyeachwa kwenye mataa.
 
Kuiacha Yanga ukiwa na mkataba nao na kwenda Kaizer ghafla ni kukosa credibility na si kuiacha Keizer bila mkataba official na kwenda Orlando ghafla. Kama hajasaini mkataba ni sawa kuopt dili poa zaidi.

YAANI WEWE makwega7 unauza gari lako kwa Juma, Juma anakutumia pesa ya mafuta ulipeleke anunue njiani unakutana na Tsh nikupe ofa mara mbili halafu useme hapana wewe una credibility huchepuki? Huko ni kuingiza mihemko kwenye biashara. Option zinafungwa baada ya kusign papers not before


Demu kama ulimuahidi pesa au maisha poa au raha na rafiki yako akapanda dau ni sawa tu. Tutashangaa kama mkeo akifanya hivyo ila demu hana official contract na wewe. Hata alipokuja kwako huenda kuna aliyeachwa kwenye mataa.

Sikua nimeelewa neno ghafla ulimaanisha nini. Niliweka assumption kuwa aliondoka kwenda kutafuta green pasture baada ya kukubaliana na mwajiri wake kumbe sivyo. Kwa hali hiyo nakubaliana nawe kuwa credibility haitakuwepo. Hiyo ya kuiacha Keizer kwa namna hiyo haitamjengea credibility hata huko Orlando, itaonekana ni mtu anaenunulika kirahisi.

Kwenye mfano wako wa uuzaji wa gari nakubaliana kua sio kosa wala dhabi kufanya hivyo, ila credibility hapo itapotea, si kwa Juma tu bali kwa yoyote atakae sikia kisa hicho na inaweza ikawa ndio amenyea kambi kwenye hio biashara.
Na hiyo ya demu ni uthibitisho mwengine wa kukosa credibility.
Mke kwa watu wengi sana huanzia kua demu, sasa kama demu anakua na tabia kama hiyo, labda kama hana mpango na ndoa maana hata huyu rafiki ataogopa kuja kufanyiwa kama alivyofanya.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sikua nimeelewa neno ghafla ulimaanisha nini. Niliweka assumption kuwa aliondoka kwenda kutafuta green pasture baada ya kukubaliana na mwajiri wake kumbe sivyo. Kwa hali hiyo nakubaliana nawe kuwa credibility haitakuwepo. Hiyo ya kuiacha Keizer kwa namna hiyo haitamjengea credibility hata huko Orlando, itaonekana ni mtu anaenunulika kirahisi.
Mkuu, Mikataba ipo sababu makubaliano ya mdomo hayawezi pima credibility. haujui waliambiana nini, unachojua hawana mkataba hivyo ni mtu unayeweza fanya naye kazi.
Kwenye mfano wako wa uuzaji wa gari nakubaliana kua sio kosa wala dhabi kufanya hivyo, ila credibility hapo itapotea, si kwa Juma tu bali kwa yoyote atakae sikia kisa hicho na inaweza ikawa ndio amenyea kambi kwenye hio biashara.
Nothing personal, its business. Hakuna credibility inayopotea hapo.
Na hiyo ya demu ni uthibitisho mwengine wa kukosa credibility.
Mke kwa watu wengi sana huanzia kua demu, sasa kama demu anakua na tabia kama hiyo, labda kama hana mpango na ndoa maana hata huyu rafiki ataogopa kuja kufanyiwa kama alivyofanya.
Mwanamke hapotezi credibility kwa kuchagua mmoja kati ya wengi wanaomshawishi.

Mkeo inawezekana alikuwa anashawishiwa na mwingine kabla wewe hujatokea from no where na kumuoa.

Kama hujaoa na una mpenzi unayefikiria kumuoa jua hili linaweza tokea na ukampoteza, na haitamaanisha kuwa mpenzi wako hana credibility, itamaanisha kuwa ulizidiwa ushawishi.
 
Hiyo hata Yanga wamewahi kufanya umafia kwa Mbuyi Twite alikuwa anaenda Simba, Chelsea wamewahi kufanya kwa John Mikel wakati anaenda Manchester United.
Issue ni hela suala la credibility linaonwa na familia yake.
Unapolisha familia basi hiyo ndio credibility tosha.
Hii imeenda..labda kama wanataka irudi tena...
Yanii umeeleweka
 
Back
Top Bottom