Kuhusu mchezaji kuibiwa Airport, Eng. Hersi aongea kwa uchungu

Kuhusu mchezaji kuibiwa Airport, Eng. Hersi aongea kwa uchungu

Mkuu, Mikataba ipo sababu makubaliano ya mdomo hayawezi pima credibility. haujui waliambiana nini, unachojua hawana mkataba hivyo ni mtu unayeweza fanya naye kazi.

Nothing personal, its business. Hakuna credibility inayopotea hapo.

Mwanamke hapotezi credibility kwa kuchagua mmoja kati ya wengi wanaomshawishi.

Mkeo inawezekana alikuwa anashawishiwa na mwingine kabla wewe hujatokea from no where na kumuoa.

Kama hujaoa na una mpenzi unayefikiria kumuoa jua hili linaweza tokea na ukampoteza, na haitamaanisha kuwa mpenzi wako hana credibility, itamaanisha kuwa ulizidiwa ushawishi.
Uliyoyasema yote yako sawa kabisa, lakini si kwa mazingira haya tunayojadili humu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
[emoji2772]
1693435314102.jpg
 
Mchezaji mwenyewe mliemuiba air pot mpaka huyu jamaa OKW BOBAN SUNZU jamaa kumuanzishia Uzi wa kulia Eng. Hersi ndio huyu Ngoma?. Bure kabisa. Mbona mmeanza kumkataa?. Mikia mna kelele.

Hata alivyorudi Luis Miquisone,huko mitaani, mitandaoni hapa Jf pia palijaa tred za kujipongeza kurudi kwake. Yuko wapi sasa? Anaruka ruka tu uwanjani. Nae mmeanza kumkataa.
 
Back
Top Bottom