Kuhusu msaada wa mchele, ni wazi kuwa tuliuomba huo msaada

Kuhusu msaada wa mchele, ni wazi kuwa tuliuomba huo msaada

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.

Ni wazi kuwa kuna watu waliandika andiko la kuonesha uhitaji wa chakula mashuleni na kuomba msaada kwa wahisani. Kinyume na matarajio, tumeletewa nafaka halisi tena zenye virutubisho.

Tulitarajia tuletewe fedha ili tujue cha kufanya (tuzipige) kama kawaida yetu.

Mamlaka zitoke zifafanue hili.
 
Tukiletewa Tende hatihoji ila fortified food tunaanza kuhoji?!Nadhani hoja iwe kufortify vyakula vya ndani kama ilivyofanyika keemye feed the future 2,
 
Kuomba msaada haimaanishi umpe mtu mchele wenye vichocheo ndani yake, mchele nchini unalimwa kwa wingi, kwanini wasitoe pesa tununue mchele hapa hapa?!
 
Kwa nn wakichukua mikopo yenye riba kubwa hawapigi kelele
 
Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.

Ni wazi kuwa kuna watu waliandika andiko la kuonesha uhitaji wa chakula mashuleni na kuomba msaada kwa wahisani. Kinyume na matarajio, tumeletewa nafaka halisi tena zenye virutubisho.

Tulitarajia tuletewe fedha ili tujue cha kufanya (tuzipige) kama kawaida yetu.

Mamlaka zitoke zifafanue hili.
Semenya wa ukaldayo unashusha nondo na madini yaliyojitosheleza.
 
Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.

Ni wazi kuwa kuna watu waliandika andiko la kuonesha uhitaji wa chakula mashuleni na kuomba msaada kwa wahisani. Kinyume na matarajio, tumeletewa nafaka halisi tena zenye virutubisho.

Tulitarajia tuletewe fedha ili tujue cha kufanya (tuzipige) kama kawaida yetu.

Mamlaka zitoke zifafanue hili.
Kashaulo ngenya
 
Kuomba msaada haimaanishi umpe mtu mchele wenye vichocheo ndani yake, mchele nchini unalimwa kwa wingi, kwanini wasitoe pesa tununue mchele hapa hapa?!
Tukipewa fedha kila mmoja wenu anajua zitaenda wapi, hata ARV mngepewa fedha mjinunulie ingekuwa balaa.
 
Ni wazi kuwa kuna watu waliandika andiko la kuonesha uhitaji wa chakula mashuleni na kuomba msaada kwa wahisani. Kinyume na matarajio, tumeletewa nafaka halisi tena zenye virutubisho.
Na wabaya watapenyezea mabaya humohumo
 
Tukiletewa Tende hatihoji ila fortified food tunaanza kuhoji?!Nadhani hoja iwe kufortify vyakula vya ndani kama ilivyofanyika keemye feed the future 2,
Tende kila mmoja wetu anajua shughuli na lengo lake.
 
Mnashangaa wakati tayari zaidi ya tani 3800 za mchele, maharage na mafuta zilishaletwa na watoto wetu wakala?
IMG-20240317-WA0588.jpg
 
Back
Top Bottom