Kuhusu mtoto haramu

Status
Not open for further replies.
Hakuna uharamu eeh? yaani mtu akim-to-mba mama yako njee ya ndoa, sawa tu kwako eeh?
 
a bastard, illegitimate child, mtoto haramu, mtoto wa zinaa
dah majina yote naona mabaya yawe ya kizungu au kiswahili wataalamu wa lugha hakuna jina zuri la kuwaita hawa watoto?
Aisee waitwe tu watoto sababu hawastahili hayo majina aisee hawakupenda kuzaliwa hivyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…