Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,478
Hakuna uharamu eeh? yaani mtu akim-to-mba mama yako njee ya ndoa, sawa tu kwako eeh?Ni udhalilishaji wa kukemewa kwa nguvu zote!! Shosti mie hakuna uharamu hata kwa wazazi maana baadhi ya hao watoto ndio huwa ndio wanakujaga kuokoa jahazi mbele ya safari. So eventually, unaishia kumshukuru Mungu aliekujalia kupata huyo mtoto, regardless of circumstances.