Kuhusu ongezeko la kutuma na kupokea pesa kwenye mihamala ebu tuache kulialia jamani

Hela Moja inakatwa Kodi Mara mbili hivi hawajui mtumaji pesa ndo hua anatuma na ya kutolea waache aiseee hii Kodi ya miamala ya simu inatakiwa ijadiliwe upya lasivyo hawatapata Hata cent labda kwa wafanyabiashara wakubwa ila sisi wa online business kwa kweli hawatatuona
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Umeongea ukweli halisi.
 
We popoma TOZO YA MIAMALA YA PESA NI REGRESSIVE Tatizo la tozo hii ni kwamba watu wa kipato cha chini wanalipa tozo at a higher rate (ya kipato chao) kuliko mataajiri.

Tozo hii inawakamuana sana masikini.
 
kwa nini wabunge hawaatwi kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…