DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mtu anataifisha pesa kutoka kwa Mtu binafsi then huyo Mtu anakamatwa na anafanya plea-bargaining na serikali then analipa pesa kwa Serikali baada ya kukili kosa lake mahakamani kupitia ofisi ya (Dpp) na kuachiwa huru hii huku victim muhathirika wa kuibiwa pesa zake na Mali anatoka 0-0
Hivi kwa Akili ya kawaida unaweza kusema Hawa Viongozi wa Tanzania wapo na Akili timamu?
Hivi kwa Akili ya kawaida unaweza kusema Hawa Viongozi wa Tanzania wapo na Akili timamu?