mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Natoa woto kwa watanzania wote kwa ujumla, safari hii watanzania tushikamane kupiga makelele kila kona hadi yafanyike mageuzi makubwa kuhusu mtazamo na mawazo ya viongozi wetu kuhusiana na mkataba mbovu sana wa bandari za Tanzania!
Kwa ujumla wetu safari hii "kelele za chura lazima zimzuie mtu kuchota maji”
Kuna msemo pendwa huko kwenye chama cha kijani kuwa "makelele ya chura hayawezi kumzuia mtu kuchota maji". Msemo huu hutumika kwenye muktadha wa watawala kuziba masikio yao kuhusu malalamiko ya wanachi kuhusu mambo mbali mbali yasiyokuwa na maslahi kwa Taifa.
Naomba huu uzi ukimbie kwa kasi ya mwanga na ujae kelele hadi wahusika wasiweze kula wala kulala na tuwasemee kwa Mungu pia!!
Viongozi wetu tunawapenda na tunawaheshimu lakini katika hili tunasema HAPANA!!
Kwa ujumla wetu safari hii "kelele za chura lazima zimzuie mtu kuchota maji”
Kuna msemo pendwa huko kwenye chama cha kijani kuwa "makelele ya chura hayawezi kumzuia mtu kuchota maji". Msemo huu hutumika kwenye muktadha wa watawala kuziba masikio yao kuhusu malalamiko ya wanachi kuhusu mambo mbali mbali yasiyokuwa na maslahi kwa Taifa.
Naomba huu uzi ukimbie kwa kasi ya mwanga na ujae kelele hadi wahusika wasiweze kula wala kulala na tuwasemee kwa Mungu pia!!
Viongozi wetu tunawapenda na tunawaheshimu lakini katika hili tunasema HAPANA!!