Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
ilishatumbukia kabla ya huyo unaemlaumu.Issue ni kwamba tusifanye kosa iena kuweka machizi mamlakani mana hii nchi kidogo itumbukie shimoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilishatumbukia kabla ya huyo unaemlaumu.Issue ni kwamba tusifanye kosa iena kuweka machizi mamlakani mana hii nchi kidogo itumbukie shimoni
watu wameteseka sana kwa sababu yake, na kwa ajili yake kundi la vijana wanaitwa chawa limeanzia huko, wakagundua kumbe ukisifia tuu unaweza kula shavu, kumsahau inakuwa ngumu sanaHuyu JPM apumzike kwa amani watu wameshindwa kumsahau 😅😅😅
Hueleweki kabisa. Wengine tunasema ajira ziendelee kupanuliwa wewe unataka ziishe kabisa. Sasq we ni binadamu wa kawaida kweliHata siyo JPM ni mfumo mbovu, kuna taasisi nyingi sn zinafanya kazi za kufanana mfano TARURA na TANROAD, TBA na TEMESA, Mamlaka za maji mijini na RUWASA, TANAPA na Ngorogoro, RITA/Uhamiaji/NIDA hivi zina wakuu wa taasisi/wakuu wa idara na wanalipwa fedha nyingi sn, hapo nje na gharama za uendeshaji wa ofisi, kifupi tuna mambo ya kijinga sn hatuna vipaumbele hata kidogo. Kuna teuzi na tenguzi za hovyo kabisa zinakula hela nyingi sn
wanamsahau vipi, watu hawajaajriwa tangu 2015, Samia ataweza kuwamaliza? halafu kwa bahati mbaya unaweza fikiri alikuwa haajiri kwa sababu walimu ni wengi huko mashuleni la hasha! kuna shule zinasota hazina walimuMimi nilitegemea hayo mazuri ya Samia yangefanya wamsahau kabisa Magufuli.
Jk aliipandisha sana interms of employment vacancies both private sector and serikali. Kipindi cha jk jeshini ilikuwa kwenda kuandika jina lugalo tu na kuitwa kwenye mafunzo, kila aliyegraduate ualimu au udaktari anapata ajira hapo hapo. Jpm akaja kuvuruga kila kituilishatumbukia kabla ya huyo unaemlaumu.
Hatuwezi wote kuwa wana siasa au wafanya biashara lazima wengine tuajiriwe ili tuje tununue vitu vyenu. Bila sisi mtafirisikaNadhani Wewe unayesubiri ajira Kwenye Nchi yenye Fursa Kibao Hii ya Tanzania ndio una matatizo makubwa
Huyo Magufuli mwenyewe ajira yake iliishia Kwenye Ualimu wa Kemia TU ila alijiongeza
Endelea kusubiri hapo hapo 😂
Kwa hali hiyo unaweza kukuta hadi Samia anatoka na kuingia Rais mwengine ila bado Magufuli ataendelea kulaumiwa.wanamsahau vipi, watu hawajaajriwa tangu 2015, Samia ataweza kuwamaliza? halafu kwa bahati mbaya unaweza fikiri alikuwa haajiri kwa sababu walimu ni wengi huko mashuleni la hasha! kuna shule zinasota hazina walimu
Jpm ataendelea kuwa reference ya the waste president everKwa hali hiyo unaweza kukuta hadi Samia anatoka na kuingia Rais mwengine ila bado Magufuli ataendelea kulaumiwa.
Sema kweli realMamyWakati mkiendelea kulaumu mkumbuke wengine walio omba hizo nafasi wengine wana ajira kabisa katika hao laki mbili.
zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.
Uajiriwe Kwa Elimu gani uliyonayo?!Hatuwezi wote kuwa wana siasa au wafanya biashara lazima wengine tuajiriwe ili tuje tununue vitu vyenu. Bila sisi mtafirisika
Mimi nina ajira kubwa sana serikalini nilimalisa kipindi cha jk. Jpm amewatelekeza vijana mtaani. Kwa jk hakuna aliyekosa ajiraUajiriwe Kwa Elimu gani uliyonayo?!
Ajira zinatangazwa daily na wote waliosoma Kwa kumaanisha Ili Waajirike wako maofisini tayari
Sasa Wewe umesoma Chuo kilichomtunuku Ngao Kafulila unategemea nani akuajiri?
Utasubiri sanan😂😂😂😂
Angalia na nchi yenyewe pamoja na watu wake.Jpm ataendelea kuwa reference ya the waste president ever
Yule hakuwa mtu wa kawaida,shetaniAngalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.
Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.
Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Yaache hayo manyonye tena alikufa mapema ilitakiwa awepo Ili wanyooke vizuri.Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.
Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.
Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Duh hii ni nomaNilishakutana na watu kwenye interview wameajiriwa lakini nao wame apply tena na wanapata kwa sababu wana uzoefu.😜😜🤪 watu wamefanya interview za kutosha hadi vipara vimewaota lakini bado hawajapata. Tusome sana ndugu zangu.
Hoja yako ni ipi sasa maana wewe huwa hueleweki na hata wewe mwenyewe hujuagi umeandika nini.Hata siyo JPM ni mfumo mbovu, kuna taasisi nyingi sn zinafanya kazi za kufanana mfano TARURA na TANROAD, TBA na TEMESA, Mamlaka za maji mijini na RUWASA, TANAPA na Ngorogoro, RITA/Uhamiaji/NIDA hivi zina wakuu wa taasisi/wakuu wa idara na wanalipwa fedha nyingi sn, hapo nje na gharama za uendeshaji wa ofisi, kifupi tuna mambo ya kijinga sn hatuna vipaumbele hata kidogo. Kuna teuzi na tenguzi za hovyo kabisa zinakula hela nyingi sn
Wewe ni vyeti feki tu!! Chuki yote ya nini kama kweli una hio ajira ya laki saba hahaaMagufuli hana jema hata moja. Jk is the best president of all presidents ever. Hakuna aliyemwaga ajira kama jk hapa tanzania