Kuhusu suala la ajira alaumiwe Hayati Magufuli kurundika graduates mtaani na hapo hapo akajiita eti ni Rais wa wanyonge

Kuhusu suala la ajira alaumiwe Hayati Magufuli kurundika graduates mtaani na hapo hapo akajiita eti ni Rais wa wanyonge

Hata siyo JPM ni mfumo mbovu, kuna taasisi nyingi sn zinafanya kazi za kufanana mfano TARURA na TANROAD, TBA na TEMESA, Mamlaka za maji mijini na RUWASA, TANAPA na Ngorogoro, RITA/Uhamiaji/NIDA hivi zina wakuu wa taasisi/wakuu wa idara na wanalipwa fedha nyingi sn, hapo nje na gharama za uendeshaji wa ofisi, kifupi tuna mambo ya kijinga sn hatuna vipaumbele hata kidogo. Kuna teuzi na tenguzi za hovyo kabisa zinakula hela nyingi sn
Hueleweki kabisa. Wengine tunasema ajira ziendelee kupanuliwa wewe unataka ziishe kabisa. Sasq we ni binadamu wa kawaida kweli
 
Mimi nilitegemea hayo mazuri ya Samia yangefanya wamsahau kabisa Magufuli.
wanamsahau vipi, watu hawajaajriwa tangu 2015, Samia ataweza kuwamaliza? halafu kwa bahati mbaya unaweza fikiri alikuwa haajiri kwa sababu walimu ni wengi huko mashuleni la hasha! kuna shule zinasota hazina walimu
 
ilishatumbukia kabla ya huyo unaemlaumu.
Jk aliipandisha sana interms of employment vacancies both private sector and serikali. Kipindi cha jk jeshini ilikuwa kwenda kuandika jina lugalo tu na kuitwa kwenye mafunzo, kila aliyegraduate ualimu au udaktari anapata ajira hapo hapo. Jpm akaja kuvuruga kila kitu
 
Nadhani Wewe unayesubiri ajira Kwenye Nchi yenye Fursa Kibao Hii ya Tanzania ndio una matatizo makubwa

Huyo Magufuli mwenyewe ajira yake iliishia Kwenye Ualimu wa Kemia TU ila alijiongeza

Endelea kusubiri hapo hapo 😂
Hatuwezi wote kuwa wana siasa au wafanya biashara lazima wengine tuajiriwe ili tuje tununue vitu vyenu. Bila sisi mtafirisika
 
wanamsahau vipi, watu hawajaajriwa tangu 2015, Samia ataweza kuwamaliza? halafu kwa bahati mbaya unaweza fikiri alikuwa haajiri kwa sababu walimu ni wengi huko mashuleni la hasha! kuna shule zinasota hazina walimu
Kwa hali hiyo unaweza kukuta hadi Samia anatoka na kuingia Rais mwengine ila bado Magufuli ataendelea kulaumiwa.
 
Hatuwezi wote kuwa wana siasa au wafanya biashara lazima wengine tuajiriwe ili tuje tununue vitu vyenu. Bila sisi mtafirisika
Uajiriwe Kwa Elimu gani uliyonayo?!

Ajira zinatangazwa daily na wote waliosoma Kwa kumaanisha Ili Waajirike wako maofisini tayari

Sasa Wewe umesoma Chuo kilichomtunuku Ngao Kafulila unategemea nani akuajiri?

Utasubiri sanan😂😂😂😂
 
Uajiriwe Kwa Elimu gani uliyonayo?!

Ajira zinatangazwa daily na wote waliosoma Kwa kumaanisha Ili Waajirike wako maofisini tayari

Sasa Wewe umesoma Chuo kilichomtunuku Ngao Kafulila unategemea nani akuajiri?

Utasubiri sanan😂😂😂😂
Mimi nina ajira kubwa sana serikalini nilimalisa kipindi cha jk. Jpm amewatelekeza vijana mtaani. Kwa jk hakuna aliyekosa ajira
 
Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.

Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.

Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Yule hakuwa mtu wa kawaida,shetani
 
Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.

Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.

Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Yaache hayo manyonye tena alikufa mapema ilitakiwa awepo Ili wanyooke vizuri.

Hakuishia huko kwenye Ajira Hadi kwenye Kilimo alivuruga.
 
Nilishakutana na watu kwenye interview wameajiriwa lakini nao wame apply tena na wanapata kwa sababu wana uzoefu.😜😜🤪 watu wamefanya interview za kutosha hadi vipara vimewaota lakini bado hawajapata. Tusome sana ndugu zangu.
Duh hii ni noma
 
Hata siyo JPM ni mfumo mbovu, kuna taasisi nyingi sn zinafanya kazi za kufanana mfano TARURA na TANROAD, TBA na TEMESA, Mamlaka za maji mijini na RUWASA, TANAPA na Ngorogoro, RITA/Uhamiaji/NIDA hivi zina wakuu wa taasisi/wakuu wa idara na wanalipwa fedha nyingi sn, hapo nje na gharama za uendeshaji wa ofisi, kifupi tuna mambo ya kijinga sn hatuna vipaumbele hata kidogo. Kuna teuzi na tenguzi za hovyo kabisa zinakula hela nyingi sn
Hoja yako ni ipi sasa maana wewe huwa hueleweki na hata wewe mwenyewe hujuagi umeandika nini.
 
Magufuli hana jema hata moja. Jk is the best president of all presidents ever. Hakuna aliyemwaga ajira kama jk hapa tanzania
Wewe ni vyeti feki tu!! Chuki yote ya nini kama kweli una hio ajira ya laki saba hahaa
 
Back
Top Bottom