Kuhusu suala la ajira alaumiwe Hayati Magufuli kurundika graduates mtaani na hapo hapo akajiita eti ni Rais wa wanyonge

Kuhusu suala la ajira alaumiwe Hayati Magufuli kurundika graduates mtaani na hapo hapo akajiita eti ni Rais wa wanyonge

Hueleweki kabisa. Wengine tunasema ajira ziendelee kupanuliwa wewe unataka ziishe kabisa. Sasq we ni binadamu wa kawaida kweli
Kuongeza taasisi siyo kuongeza ajira, mfano Meneja wa TARURA anakunja 4.6M nje na posho kwa mwezi, kumbe angebaki halmashauri angeendelea kulipwa mshahara wa kawaida ambao hauzidi 2M na 2.6M angeweza kuajiri walimu 5 wa diploma au 3 wa degree, kumbuka ndani ya hizo taasisi kuna idara kibao fedha/manunuzi/hr/communication/auditing n.k hao wote wanalipwa stahiki za wakuu wa vitengo na idara, fanya reserach master
 
Na wajinga pamoja na wazembe waliolelewa vibaya na mama zao
si ndio wanyonge wenyewe, ndio alikuwa anawapambania na alijinasibu kuwa yeye ni kiongozi wa wanyonge na yuko pale kuwafanya matajiri waishi kama mashetani nadhani unaelewa wanaoishi kama mashetani ni akina nani!
 
Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.

Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.

Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
ALIWARUDISHA GRADUATE MITAANI HIVI UNAFIKIRI GRADUATE WOTE WANAWEZA KUAJIRIWA NA SERIKALI? JARIBU KWENDA NA WAKATI HUU SIYO WAKATI WAKUKIMBILIA AJIRA ZA SERIKALI WATAWAWEKA WAPI?
 
ALIWARUDISHA GRADUATE MITAANI HIVI UNAFIKIRI GRADUATE WOTE WANAWEZA KUAJIRIWA NA SERIKALI? JARIBU KWENDA NA WAKATI HUU SIYO WAKATI WAKUKIMBILIA AJIRA ZA SERIKALI WATAWAWEKA WAPI?
Samis is prooving him wrong!! Inawesekana ukiwa una akili timamu. Jamaa hamuwa na akili timamu ndo mana alikuwa anajiita kichaa
 
Nina ajira tayari. Soma nilichoandika. Nimesema thanks to Mama nowa niko serikalini
Kwa hiyo kumbe wewe kilichokufanya kuwa na chuki yote hii Kwa Magufuli ni njaa tu ambayo ilitokana na joblessness uliyokuwa nayo tangu kipindi Chake sio??

Sasa hivi unamshukuru Samia na kumuona ni Mungu mtu sababu umepata ajira kwenye serikali yake?... Kama ndio hivi basi akili zako ni ndogo sana na hiyo elimu yako ni geresha tu haijakusaidia kukupa maarifa wala kukuondolea ujinga.

Mosi, akili zako ni ndogo sana sababu ulishindwa kutumia elimu yako kujiondoa kwenye dimbwi la umaskini na badala yake ukaisubiri serikali ndio ije ikuajiri hili kupata uaheni ya kimaisha, hivyo basi nje na ajira wewe huwezi ukaishi, Kwa ufupi tu ni kwamba wewe Bado ni mjinga na hauna maarifa ya kukabiliana na changamoto za kimaisha.

Pili, ubora wa raisi kwako unaupima Kwa kigezo Cha yeye kutoa ajira tu basi, yaani Kwa namna nyingine kiongozi Bora kwako ni yule anayekuhakikishia kushiba tu ... Sasa watu kama wewe mna mentality za kimaskini sana, maana jambo muhimu kwako pekee ni kula tu basi, na pia wewe ni rahisi sana kuongozwa na mafisadi yanayokuibia mabilioni huku yakikupa kimshaara Cha million Moja na ukaridhika kabisa.

No, wonder Samia anauza rasilimali huku akiwadanganyishia Kwa viajira vya mara Kwa mara maana ameshajua upeo wenu ni duni sana, hamuoni mbele zaidi ya matumbo yenu.

Tatu, kama tu walivyo watanzania wengi wenye upeo finyu wanampenda kulalamika lalamika badala ya kutafuta ufumbuzi WA jambo....wewe ni miongoni wajinga ambao mnaipa serikali ya Samia freedom of accountability bila kujua.

Maana mnapo endelea kumlaumu Magufuli Kwa mambo yanayoendelea kwenye awamu hii, ambayo ni jukumu la serikali hii kukabiliana nayo mnawafanya Samia na washiriki wake wasisumbuke kutafuta sulululisho lolote maana wanajua lawama zote mtazipeleka Kwa Magufuli ambaye hayupo hivyo basi mnawapa mwanya wa wao kuwa wazembe... Ila Kwa akili ngando ulizonazo huwezi kuliona hili.

Mwisho, tafuta namna ujaribu kuondoa hizo chuki Kwa marehemu maana ni dhairi zinakutafuna na zinakuathiri afya yako ya ubongo.
 
Mnataka nchi iwe inaishia kulipa mishahara tu,bila maendeleo yeyote.
Hawa vijana WA kisasa hata usipowajengea zahanati kwenye vijiji vyao na kuwaboreshea huduma muhimu kama maji na umeme, ila ukiwapa uhakika WA mishaara watakuona wewe ni Mungu mtu.
 
Jpm alivurunda urais. Sijui ilikuwaje kuwaje akawa rais mtu ambaye hana uwezo kabisa
Oya weweboya unamtukana JK unajua yaan matusi yako yote yanaenda kwa JK bora unyamaze tu kuficha ujinga wako, Samia kakupa ajira Samia kakupa kaa kimya kumwmako
 
Angalia waliokuwa shortlisted kusailiwa ni zaidli ya 200,000 wakati wanaotakiwa no 14,00 tu.

Nampa heko mama angalau anapunguza kuliko lile jibwa ambalo lilikuwa linawatesha vijana mtaani na kuwafanya machinga.

Jk aliweka utaratibu mzuri wa kuajiri kila mwaka lakini lenyewe likaharibu utaratibu mzuri ule tatizo la ajira likaanza.
Magufuli hahusiki na graduates kuwa mitaani. Na mwaka wa tano tangu atwaliwe na bado hao graduates wapo mitaani. Shida ingekuwa yeye huyu aliyepo angeshawaajiri wote.

Tatizo ni uwenda wazimu wa Watanzania wote wakiongozwa na wanasiasa wao na wasmoni. Kuliwa na haja gani kuua vyuo vya kati na kila Chuo kutoa elimu ya Shahada wakati nchi ina sekta zinazozalisha ajira na kodi.

Kulikuwa na ulazima gani hadi SUA na Mzumbe kutoa hadi kozi za ualimu? Kwa nini hivyo vyuo visingebaki na taaluma zao za asili ya vyo vyao?

Kuna sababu gani vyuo vya ajabu ajabu kutoa elimu ya biashara na uhasibu badala ya taaluma hizo kuachwa kwa UDSM. Mzumbe, IFM, AIA, TIA na CBE?

Ngoja tuendelee kuisoma namba maana sisi ni vichwa vya wenda wazimu.
 
Kwa hiyo kumbe wewe kilichokufanya kuwa na chuki yote hii Kwa Magufuli ni njaa tu ambayo ilitokana na joblessness uliyokuwa nayo tangu kipindi Chake sio??

Sasa hivi unamshukuru Samia na kumuona ni Mungu mtu sababu umepata ajira kwenye serikali yake?... Kama ndio hivi basi akili zako ni ndogo sana na hiyo elimu yako ni geresha tu haijakusaidia kukupa maarifa wala kukuondolea ujinga.

Mosi, akili zako ni ndogo sana sababu ulishindwa kutumia elimu yako kujiondoa kwenye dimbwi la umaskini na badala yake ukaisubiri serikali ndio ije ikuajiri hili kupata uaheni ya kimaisha, hivyo basi nje na ajira wewe huwezi ukaishi, Kwa ufupi tu ni kwamba wewe Bado ni mjinga na hauna maarifa ya kukabiliana na changamoto za kimaisha.

Pili, ubora wa raisi kwako unaupima Kwa kigezo Cha yeye kutoa ajira tu basi, yaani Kwa namna nyingine kiongozi Bora kwako ni yule anayekuhakikishia kushiba tu ... Sasa watu kama wewe mna mentality za kimaskini sana, maana jambo muhimu kwako pekee ni kula tu basi, na pia wewe ni rahisi sana kuongozwa na mafisadi yanayokuibia mabilioni huku yakikupa kimshaara Cha million Moja na ukaridhika kabisa.

No, wonder Samia anauza rasilimali huku akiwadanganyishia Kwa viajira vya mara Kwa mara maana ameshajua upeo wenu ni duni sana, hamuoni mbele zaidi ya matumbo yenu.

Tatu, kama tu walivyo watanzania wengi wenye upeo finyu wanampenda kulalamika lalamika badala ya kutafuta ufumbuzi WA jambo....wewe ni miongoni wajinga ambao mnaipa serikali ya Samia freedom of accountability bila kujua.

Maana mnapo endelea kumlaumu Magufuli Kwa mambo yanayoendelea kwenye awamu hii, ambayo ni jukumu la serikali hii kukabiliana nayo mnawafanya Samia na washiriki wake wasisumbuke kutafuta sulululisho lolote maana wanajua lawama zote mtazipeleka Kwa Magufuli ambaye hayupo hivyo basi mnawapa mwanya wa wao kuwa wazembe... Ila Kwa akili ngando ulizonazo huwezi kuliona hili.

Mwisho, tafuta namna ujaribu kuondoa hizo chuki Kwa marehemu maana ni dhairi zinakutafuna na zinakuathiri afya yako ya ubongo.
Kwani wewe hapa duniani unafanya nini? Unaweza kuishi bila kula? Yaani unatala tumsifoe rais ambye katulaza njaa five years na kiteka na kuua kila anayempinga as if yeye hapingwi kabisa. Mungu ndo hapingwi peke yake
 
Maendeleo ni nini? For my side maendeleo ni pamoja na watu kula bada ambapo facilitator wa bata ni mshahara
Kwamba maendeleo ni kula Bata Nini?

Aisee watu WA dizaini yako ni mizigo mizito na hatarishi sana Kwa taifa, maana Kwa akili zenu duni zinazowaza kula tu ni rahisi sana kulisaliti taifa pale mnawekewa vipande vya fedha.
 
Back
Top Bottom