Kuhusu suala la ajira alaumiwe Hayati Magufuli kurundika graduates mtaani na hapo hapo akajiita eti ni Rais wa wanyonge

Hakuna aliyemaliza chuo kipindi cha jk aliyekosa ajira. Jk alikuwa ni mtu na nusu. Jpm ndo katengeza tatizo hilo kwa uwezo wake mdogo
Muda mwingine vitu km huvielewi bora ukae kimya ndio maana nakwambia nawasikitikia waliokupa ajira maana wametoa ajira kwa zero sifuri huna akili
 
Kwani wewe hapa duniani unafanya nini? Unaweza kuishi bila kula? Yaani unatala tumsifoe rais ambye katulaza njaa five years na kiteka na kuua kila anayempinga as if yeye hapingwi kabisa. Mungu ndo hapingwi peke yake
Kwa jinsi ulovyoandika tu ni kama ngumbaru fulani ambaye hajafika hata standard five... No wonder una sound kama semi-illiterate fulani hivi kwanzia mwanzo wa bandiko lako mpaka hapa kwenye hii comment.

Watu wa dizaini yako kipindi Cha serikali ya makaburu kule Africa kusini waliajiriwa kwenye mashamba ya makaburu Kwa ujira ufinyu uliowawezesha kuishi wao na familia zao, wakawa wanaona kama wameyapatia maisha kiasi Kwamba wakawa hadi wanawatetea makaburu dhidi ya wanaharakati weusi kama Steve Biko na Mandela.

Walifanya vile pasipo kuangalia kesho Yao na vizazi vyao vya watu weusi, mathalani tu walikuwa Wana uhakika WA kula na kunya basi wakaowaona weusi wenzao waliokuwa wanapigania freedom ni kama wasumbufu.

Sasa na wewe ndio wale wale, mathalani tu Sasa hivi umepata kaajira una uhakika WA kunywa bia mbili tatu kila weekend, basi huwezi ukawaza matatizo mengi yanayolikumbuka taifa hili ambayo yamesababishwa na serikali ya Samia.

-Huwezi ukawaza uonevu na ukatili waliofanyiwa wamasai WA Ngorongoro

-Huwezi ukawaza uzembe na ukiritimba uliokithiri mahospitalini ambao umekuwa chanzo Cha vifo vingi vinavyozuilika.

-Huwezi ukawaza wizi na ubadhirifu WA pesa za umma ambao umeongezeka awamu hii kuliko awamu zingine zote zilizopita.

-Huwezi ukawaza udalali unaofanywa na Samia kwenye rasimali zetu ambazo zinaliweka hatarini taifa Kwa siku za usoni.

-Huwezi ukawaza hata kukithiri Kwa matukio hatarishi mitaani kama mauaji na kutekana huku serikali ya Samia ikihusishwa.

Yaani unachowaza wewe ni kula Bata tu... Hakika upeo wako ni duni sana, na sijui hata huko shule ulienda kufanya nini
 
Maendeleo ni watu dogo. Siyo vitu. Ethiipia kuna miundo mbinu mpaka chooni lakink watua wanakamatwa kila siku wakikimbia nchi yao kwenda africa kusini kutafuta maisha.
 
Usipokula unakufa. This is simple logiic. Sema we umesoma kiswahili hata logic huelewi. Google it
Teh.. teh, Kwa hiyo hapa wewe Ngumbaru unanifundisha Mimi kingereza nyau wewe??????

Shenzy kabisa!!

Kwa akili hizi lazima umuone Samia ni Mungu wako maana nje ya kuajiriwa huna ujanja wowote WA kukabiliana na njaa.

Watu mlioenda shule kujua mko wengi sana taifa hili na ndio mitaji ya wanasiasa mafisadi
 
Unapokula hufi. That was a lapse of the tongue dogo
 
Maendeleo ni watu dogo. Siyo vitu. Ethiipia kuna miundo mbinu mpaka chooni lakink watua wanakamatwa kila siku wakikimbia nchi yao kwenda africa kusini kutafuta maisha.
Huna akili pia umri wako unatia shaka pia toto la 2000 hili ndio tatizo
 
Thanks to Samia nimepata ajira juzi juzi tu
Utabaki masikini daima!

Ulipisaini mkataba wa ajira ndio ulisaini mkataba wa umasikini.

Kwa kuwa wewe ni lipumbavu huwezi kuelewa hili
 
Magufuli hana jema hata moja. Jk is the best president of all presidents ever. Hakuna aliyemwaga ajira kama jk hapa tanzania
Nilifikiri una hoja kumbe ni chuki tu

Wewe ni takataka
 
Utabaki masikini daima!

Ulipisaini mkataba wa ajira ndio ulisaini mkataba wa umasikini.

Kwa kuwa wewe ni lipumbavu huwezi kuelewa hili
Rais mwenyewe ameajiriwa, wabunge wameajiriwa, mawaziri wameajiriwa. We una pesa kumzidi rais?
 
Rais mwenyewe ameajiriwa, wabunge wameajiriwa, mawaziri wameajiriwa. We una pesa kumzidi rais?
Wewe ni taahira.....

Hata hako ka ajira kako ka mshahara wa laki 4 hakatakusaidia kitu
 
Kwani wewe hapa duniani unafanya nini? Unaweza kuishi bila kula? Yaani unatala tumsifoe rais ambye katulaza njaa five years na kiteka na kuua kila anayempinga as if yeye hapingwi kabisa. Mungu ndo hapingwi peke yake
Unamjua Ally Kibao au Olimbaka?
 
Magufuli hana jema hata moja. Jk is the best president of all presidents ever. Hakuna aliyemwaga ajira kama jk hapa tanzania
Ila jiwe alikuwa mjinga sana,kuna kipindi walitoa ajira afu majina yakawayanarudiwa ili idadi ionekane ni kubwa

Mfano jina moja linakuwa kwenye kila page afu page zipo 70
 
Hawa vijana WA kisasa hata usipowajengea zahanati kwenye vijiji vyao na kuwaboreshea huduma muhimu kama maji na umeme, ila ukiwapa uhakika WA mishaara watakuona wewe ni Mungu mtu.
Hio mishahara si itakua inaishia kwenye kujitibu magonjwa tu na hakuna kitu watafanya na hyo mishahara yao…
 
Serikali ina uwezo wa fedha kuajiri hao 14,000 tu,
Maana yake uwezo unapatikana tu kwa kuwa Magu aliajiri kwa uchache!
Imagine Magu angeajiri, hao 14,000
Unadhani leo ingetangazwa hio ajira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…